Recent content by DDD

  1. D

    mpenzi wangu ana moyo chuma.

    bora umejua mapema ufanye maamuzi usije ukalaumu .TENA MSHUKURU MUNGU KWA KUJUA HILO
  2. D

    Historia ya maisha yangu. sina raha.

    mmmmmmmmmmmh kweli wazazi wengine bwana, unatoka unakwenda mziki anakubali, hurudi haulizi? Pole maana kwenye malezi piakuna tatizo. Japo huu siyo muda wa kulaumu malezi ila nashindwa hata nikushauri vipi naogopa ntakukwaza pole sana
  3. D

    Hili Lina Utata

    Mi nadhani mkitofautiana age kwa miaka 5-10 kunakuwa na heshima sana. Ila mkikaribiana sana utoto mwingi sana nionavyo mimi
  4. D

    Hili Lina Utata

    Mi nadhani umitofautiana age kwa miaka 5-10 kunakuwa na heshima sana. Ila mkikaribiana sana utoto mwingi sana nionavyo mimi
  5. D

    Hapa ni kupoteza Ada

    mmmmmmmmh!
  6. D

    Mke darasa la 7

    Kama anapenda shule na akili ipo mpeleke bana
  7. D

    Nampenda sana, sipendi afanye kazi.

    Kila kitu kikizidi ni chachu. Wivu umekuzidi umechukua maamuzi ambayo siyo sahihi. Mbona wakati unamwachisha kazi hukusema? Hana kazi ndo unasema. Pole yako maana akiamua kufanya chochote hutaamini macho yako.
  8. D

    Naomba Mnipe ushauri kuhusu huyu mke wangu

    Tena na simu usiku? Du wenyebusara watakujibu maana mmmh
  9. D

    CHADEMA ndio wamesababisha mgomo wa madaktari

    Nilivyosoma nimeelewa . Nadhani ujumbe umefika
  10. D

    Madaktari na Posho za Wabunge

    Kila kukicha afadhali ya jana. Matatizo kila leo source mfumo mbovu kama tungekuwa na mfumo mzuri haya yote yasingetukuta Hivi kweli wangekuwa wanatibiwa ktk hospitali tunazotibiwa sisi mambo yangekuwa hivi. Hiyo katiba ingewabana watibiwe hapa na watoto wao wasome shule za serikali...
  11. D

    Nimekataa posa ya Myao kwa mpwa wangu…………………!

    Hongera maana hapo unamtengenezea binti maisha bora sasa sijui kama yeye analielewa hilo. Ila kama ni binti mwelewa hatakuwa tayari kukimbilia. Mimi pia niliwahi chukua ndugu walivyoanza tu kumtafutia mchumba nikapata taarifa, nikamwambia binti naomba uchague kwenda kuolewa au kusoma nisipoteze...
  12. D

    From the bottom of my heart sitaki mwanaume wa Dar

    Kwani wanaume wa Dar wamewekewa alama? Akiwa mkoani akihamia Dar utamkataa? TABIA HAINA DAWA .........Kumbuka maji hufuata mkondo
  13. D

    Changamoto za uke wenza

    Du pole sana.
  14. D

    Kuna raha ya aina yake kama mke na mume ni wacha mungu

    Inapendeza sana ila KILA KITU KIKIZIDI NI CHACHU.
Back
Top Bottom