Nampenda sana, sipendi afanye kazi.

Alikuwa na kazi yake nzuri.
Lakini nampenda sana kiasi kwamba nilikuwa namuonea huruma sasa nimemwachisha kazi ili asipate tabu.

Halafu kuna suala la wivu. Huko alikokuwa anafanyia kazi kuna majamaa kibao. Sikuwa na imani.
Nimemwachisha kazi sasa amepumzika nyumbani, nikirudi namkuta. Ndio furaha yangu.

miwivu mingine ndio maana watanzania hatuendelei! hivi we mitishamba unamwachisha kazi mwenzio unaona ufahari sana! hivi ujui kuna leo na kesho...kama kumegewa tunda lako itategemea na huyo mpenzio kama ana tabia kama hizo hata umweke kwenye shimo atawamegea watu tuu...haya bana mapenzi hayooooooooo....
 
miwivu mingine ndio maana watanzania hatuendelei! hivi we mitishamba unamwachisha kazi mwenzio unaona ufahari sana! hivi ujui kuna leo na kesho...kama kumegewa tunda lako itategemea na huyo mpenzio kama ana tabia kama hizo hata umweke kwenye shimo atawamegea watu tuu...haya bana mapenzi hayooooooooo....

Hawezi megwa na mtu yeyote
 
Duu mjomba naona hapo lengo lako ni kuimong'onyoa familia na utamu wa wivu wako utatimia pale utakapoachishwa kazi na cv zako kusombwa na mafuriko,mi nitakachokifanya ni kuwanunulia draft,bao na karata ili mkae mkekani muangalie mawio na machweo!!
 
Alikuwa na kazi yake nzuri.
Lakini nampenda sana kiasi kwamba nilikuwa namuonea huruma sasa nimemwachisha kazi ili asipate tabu.

Halafu kuna suala la wivu. Huko alikokuwa anafanyia kazi kuna majamaa kibao. Sikuwa na imani.
Nimemwachisha kazi sasa amepumzika nyumbani, nikirudi namkuta. Ndio furaha yangu.

Wala sio upendo huo bali ni wivu tu. kwa hiyo umemfanya mwenzio awe Oliver kan au DIDA nadhani hata huyo mwanamke ana upeo mdogo wa kuchambua mambo akili za kuambiwa changanya na zako.
 
Duu mjomba naona hapo lengo lako ni kuimong'onyoa familia na utamu wa wivu wako utatimia pale utakapoachishwa kazi na cv zako kusombwa na mafuriko,mi nitakachokifanya ni kuwanunulia draft,bao na karata ili mkae mkekani muangalie mawio na machweo!!

hayakuhusu
 
Kila kitu kikizidi ni chachu. Wivu umekuzidi umechukua maamuzi ambayo siyo sahihi.
Mbona wakati unamwachisha kazi hukusema? Hana kazi ndo unasema. Pole yako
maana akiamua kufanya chochote hutaamini macho yako.
 
Back
Top Bottom