Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,770
- 59,118
kuna mahusiano na sred ya pdidy nini!
Nimekusoma ila sijakuelewa.
kuna mahusiano na sred ya pdidy nini!
Nimekusoma ila sijakuelewa.
utaelewa tu, ili mradi we wangu.
Ningekua bidhaa LABDA!!
Alikuwa na kazi yake nzuri.
Lakini nampenda sana kiasi kwamba nilikuwa namuonea huruma sasa nimemwachisha kazi ili asipate tabu.
Halafu kuna suala la wivu. Huko alikokuwa anafanyia kazi kuna majamaa kibao. Sikuwa na imani.
Nimemwachisha kazi sasa amepumzika nyumbani, nikirudi namkuta. Ndio furaha yangu.
miwivu mingine ndio maana watanzania hatuendelei! hivi we mitishamba unamwachisha kazi mwenzio unaona ufahari sana! hivi ujui kuna leo na kesho...kama kumegewa tunda lako itategemea na huyo mpenzio kama ana tabia kama hizo hata umweke kwenye shimo atawamegea watu tuu...haya bana mapenzi hayooooooooo....
Alikuwa na kazi yake nzuri.
Lakini nampenda sana kiasi kwamba nilikuwa namuonea huruma sasa nimemwachisha kazi ili asipate tabu.
Halafu kuna suala la wivu. Huko alikokuwa anafanyia kazi kuna majamaa kibao. Sikuwa na imani.
Nimemwachisha kazi sasa amepumzika nyumbani, nikirudi namkuta. Ndio furaha yangu.
Duu mjomba naona hapo lengo lako ni kuimong'onyoa familia na utamu wa wivu wako utatimia pale utakapoachishwa kazi na cv zako kusombwa na mafuriko,mi nitakachokifanya ni kuwanunulia draft,bao na karata ili mkae mkekani muangalie mawio na machweo!!
Wala sio upendo huo bali ni wivu tu. kwa hiyo umemfanya mwenzio awe Oliver kan au DIDA nadhani hata huyo mwanamke ana upeo mdogo wa kuchambua mambo akili za kuambiwa changanya na zako.
hayakuhusu
Hawezi megwa na mtu yeyote