Recent content by DBC

  1. DBC

    Ushauri kwako Innocent Bashungwa (W) Viwanda na Biashara

    Naona Tunduma/ Nakonde Onestop Boder Post tayari imezinduliwa. Hii ni moja ya mambo tulijaribu kushauri humu jf wadau
  2. DBC

    Wakongwe tukumbushane kuhusu wanasoka wa Kiafrika

    Leo naomba tukumbushane baadhi ya wachezaji wa Soka wa Kiafrika waliotamba katika soka la ndani ya Afrika na soka la kulipwa duniani lakini wa kiafrika. Mfano akina Sunday Olisieh, Rodger Milla, Taribo West, Nwanko Kanu, Augustine Jay Jay Okocha, Rigobert Song, Samuel Etoo, Patrick Mboma, Marc...
  3. DBC

    Haya ndio Mashirika na Taasisi za Serikali zinaoongoza kwa mishahara na maslahi mazuri. Kama hauna wa kukuleta usiombe ajira

    Write your reply...Mmh Afisa huu utafiti umefanyia wapi? Na vipi kuhusu uwajibikaji wao. Mimi nafahamu mishara mikubwa iko TCC, TBL, TPB, TPA, mashirika kama STAMICO, TANAPA, TACAIDS pamoja na bodi za mashirika nk lakini taasisi ilikua zamani taasisi kama IFM walikua wakijipangia mishahara wenyewe
  4. DBC

    Njia za kuacha kupiga nyeto ni hizi

    NJIA NI HIZI 1. Kuoa/Kua na mpenzi 2. Kufanya mazoezi 3. Kuepuka kula vyakula vya mafuta mengi 4. Kujiweka bize 5. Kuepuka kuangalia picha jongefu za mapenzi
  5. DBC

    Ushauri kwako Innocent Bashungwa (W) Viwanda na Biashara

    Ukifanya hivyo utaozea jela na hautapata faida yoyote
  6. DBC

    Ushauri kwako Innocent Bashungwa (W) Viwanda na Biashara

    Write your reply... Kuhusu korosho najua atamudu ndio maana sijamshauri kwasababu alikua naibu waziri Kilimo alihusika katika kukusanya na kuzihifadhi kwenye maghala kwahiyo ni wajibu wake sasa kuziuza, itambidi atafute masoko kwa korosho nusu iliyoko kwenye maghala na nusu nyingine ibanguliwe...
  7. DBC

    Ushauri kwako Innocent Bashungwa (W) Viwanda na Biashara

    Huyu jamaa anauwezo mkubwa sana kama umekua mfuatiliaji mzuri tangu alipokua serikali ya awamu ya nne alikua na nafasi ya mshauri wa Rais na angalia alivyotekeleza na kufanikisha kutungwa na kutekelezwa kwa baadhi ya sheria zenye manufaa kwa sasa ikiwemo sheria ya Mtandao na sheria ya kutokomeza...
  8. DBC

    Ushauri kwako Innocent Bashungwa (W) Viwanda na Biashara

    Hakika Comred, vijana wameshika hatamu japo ningelikua mshauri wa Rais ningemshauri wizara hii ingemfaa sana Ndugu January Makamba na kungekua na mafanikio makubwa
  9. DBC

    Ushauri kwako Innocent Bashungwa (W) Viwanda na Biashara

    Kwako brother Innocent Bash (W) Viwanda na Biashara Nikupongeze kwa uteuzi wa kushika wizara hiyo nyeti hasa ukizingatia umuhimu wake kwa maendeleo ya nchi yetu. Karibu katika majukumu mapya kutoka kuwa Naibu waziri Kilimo na sasa Waziri VB, naomba nikupe mambo mawili matatu ya kuyarejea na...
  10. DBC

    Kama hujawahi kuona hizi muvi basi zitafute

    Kwa kizazi cha sasa cha movie kama hujaona The Expendables, TAKEN au Fast n Furious basi umeachwa mbali
  11. DBC

    Nani alishagonga afande humu?

    Wote mriochangia mada hii niwakute central kesho asubuhi mtoe maerezo mritoa wapi mamraka ya kuchezea crown za majeshi yetu.....
  12. DBC

    Al Ahly vs Simba SC, Jumamosi: Nini maoni yako kuhusiana na mtanange huu?

    Mtanange kupigwa jumamosi saa 3:00 usiku kwa saa za Misri na saa 4:00 kwa saa za kwetu
  13. DBC

    Maoni Ushauri na Mapendekezo kwa mabasi ya mwendo kasi (DART): Nini changamoto, nini umefurahia?

    Aisee leo ilikua balaa pale kimara terminal kuna kitu inabidi kifanyike
  14. DBC

    Maoni Ushauri na Mapendekezo kwa mabasi ya mwendo kasi (DART): Nini changamoto, nini umefurahia?

    Kwa kipindi kirefu sasa ukimya umetawala juu ya suala la mabasi yaendayo haraka maarufu Mwendokasi huku kukionekana dhahiri kuwa kuna mdororo wa kibiashara ama kupungukiwa na wafanyakazi wa mradi huo na hivyo kusababisha kuwepo kwa upungufu wa mabasi hasa kwa baadhi ya ruti za mjini huku kukiwa...
Back
Top Bottom