Leo naomba tukumbushane baadhi ya wachezaji wa Soka wa Kiafrika waliotamba katika soka la ndani ya Afrika na soka la kulipwa duniani lakini wa kiafrika.
Mfano akina Sunday Olisieh, Rodger Milla, Taribo West, Nwanko Kanu, Augustine Jay Jay Okocha, Rigobert Song, Samuel Etoo, Patrick Mboma, Marc...