Kwanza nianze kwa kukupongeza kwa kuchaguliwa kuongoza chama cha mapinduzi kupeperusha bendera katika uchaguzi mkuu wa octoba.
Sina shaka na utendaji wako wa kazi na wala sina shaka na uadilifu wako. Nalisema hili kutoka moyoni maana hata kama nikinyamaza kazi zako ulizofanya zitaongea...
Kuna taarifa kuwa kuanzia mwaka huu kila mwanafunzi wa chuo atatakiwa kulipa sh 20,000 TCU kwa ajili ya quality assurance fees na tayari wanafunzi toka baadhi ya vyuo nchi wameanza kubanwa na uongozi wa vyuo hivyo kulipa ada hii. Tena baadhi vimeenda mbali zaidi kutoa katika ada za wanafunzi...
Hawa jamaa wasijaribu kututoa ktk lengo la kudai kura ya maoni usogezwe mbele kwa kutuletea hadithi za bulicheka mpaka mtuhumiwa atake kutorokavwalikuwa wapi hao waliokuwa wanamlinda
Kuna wakati nafika mbali sana hadi najiuliza hii nchi mwenyewe ni nani?Mbona mambo yanaenda kombo kiasi hiki huku watawala wakiwa kimya. Hivi midomo yenu ni midogo zege?
Mbona mnafumbia macho mambo ya wazi.Albino wanauwawa sijasikia kiongozi yeyote mkuu akichukua hatua madhubuti za kutatua...
Hapa nakubaliana na wewe wako wengi wakati wanamaliza form 4 hawakufanya vizuri wakarudia mtihani wakapita na form six wengine ikawa hivyo hivyo lkn leo wako chuo na wanafaulu vizuri bila kuiba mitihani.
Wizi ni tabia ukiwa nayo utaiba tu na mwizi akikosa cha kuiba anaweza hata kujiibia...
Kama umezoea wizi basi utaendelea kuiba tu.Wiki mbili zilizopita wanafunzi wa chuo kikuu Iringa walianza kufanya UE au University Examinations.
Cha ajabu wale tunaotegemea wakawafundishe wadogo zetu yaani waalimu baadhi yao ndio wameiba mitihani ya UE. Hawa sio wengine bali ni baadhi ya...
Dharau na kejeli mbaya sana.mi jana nilisubiri sana kuona nchi ikitetemeka kama alivyoahidi akitoka nchi itatetemeka kumbe wapi.mtaalam wa miamba alijifanya na yeye sehemu ya mwamba ila jana umemgeuka katulia tuliii hakuna mtetemeko wala mpasuko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.