Recent content by Dazzle 2

  1. Dazzle 2

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza Kukwama Uaskofu Mkuu KKKT

    Yanatusaidia nini haya uliyoyaandika! Kwani sisi tunapiga kura? kwa bahati mbaya sana wewe ndio unaendeleza chuki na kutuchafua wana KKKT wote. Wanaopiga kura wako Makumira wewe unaleta siri za ndani huku mitandaoni? Hata kama uliyoyaandika ni ya kweli, unadhani hii ni njia sahihi ya kufikisha...
  2. Dazzle 2

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA inachangisha hela ya matibabu ya Lissu?

    Kawaulize wabunge kwa nini waliamua kutoa nusu ya seating allowance yao ya jana iende kumsaidia Lissu. Ni vyema nyakati kama hizi watu wakiwa katika maombi, sala na dua na kila support inayoweza kuokoa uhai wa mtu kama huna la kusema shut your dirty mouth. Tunaongelea uhai wa mtu hapa huo ujinga...
  3. Dazzle 2

    JamiiForums Tanzania Nyalandu nisiyemfahamu

    Ungekuja huku Arusha na hizi pumba zako tungekugombea kama mpira wa kona. Better to shut up ur mouth than opening it and talk rubbish
  4. Dazzle 2

    JamiiForums Tanzania Nyalandu nisiyemfahamu

    Habeeb anayemponda Nyalandu katika hili msamehe bure. Laiti mngelijua ushiriki wa Nyalandu katika hili. Lakini Kama sifa au kama mnavyoita kutafuta Kiki zinatafutwa kwa kufanya alichofanya Nyalandu basi ameipata na jamii inamkubali.
  5. Dazzle 2

    JamiiForums Tanzania Kilichofanywa na shule ya mbunge wa CCM (St. Anne Marie- Mbezi kwa Msuguri) ni wizi wa fedha za wazazi

    14400 ulishwe wali nyama mbili na kabechi?
  6. Dazzle 2

    JamiiForums Tanzania Kilichofanywa na shule ya mbunge wa CCM (St. Anne Marie- Mbezi kwa Msuguri) ni wizi wa fedha za wazazi

    Kama mzazi nimesikitika sana. Leo kulikuwa na mahafali ya watoto wa chekechea na wale wa darasa la saba. Wazazi tulichangishwa sh 72,000 kwa kila mtoto kwa ajili ya mahafali. Cha ajabu leo ambayo ndio siku ya mahafali wamewalisha watoto wetu wali, nyama na kabechi bila hata kuwapa maji ya kunywa...
  7. Dazzle 2

    JamiiForums Tanzania Kikao Cha siri Kati ya Sumaye Na Kikwete kilikuwa Cha nini?

    Duh naona ganja ulovuta tangu 2015 leo ndio linakulewesha. Hii ni hatari sana
  8. Dazzle 2

    JamiiForums Tanzania Prof. Lipumba augeuzia msumeno kwa wabunge wa majimbo CUF

    Namuunga mkono Kibajaj aliyesema kuwa wabunge na wanasiasa wetu wapime akili.
  9. Dazzle 2

    JamiiForums Tanzania Hekima za Mzee Nelson Mandela

    "It is better to lead from behind and to put others in the front, especially when you celebrate victory ... You take the front line when there is danger. The people will appreciate your leadership." Dr. Nelson Rolihlahla Mandela
  10. Dazzle 2

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli awapa siku 14 wamiliki wa vituo vya mafuta kutumia EFD la si hivyo wafutiwe leseni

    Naomba isiishie kwenye vituo vya mafuta tu bali hata Askari wa usalama barabarani nao wapewe EFD waache kutoza faini kwa kutumia makaratasi.
  11. Dazzle 2

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Mh Rais nianze kwa kukupa pongezi kwa kazi nzuri ya ujenzi wa Tanzania mpya isiyo na rushwa, uonevu, dhuluma wala ubaguzi. Mungu akubariki, akulinde na kukutinza. Ulinzi wa Malaika na jeshi la mbinguni uwe nguzo yako ulalapo na utembeapo. Mh Rais najua mtu kama mimi siwezi kukuona ana kwa ana...
  12. Dazzle 2

    JamiiForums Tanzania Tanzia: Sethi (bikira wa kisukuma) amefariki dunia

    Nenda youtube search Bikira wa Kisukuma anaelezea maana ya kujiita hivyo
  13. Dazzle 2

    JamiiForums Tanzania Je, faini za barabarani zinaenda TRA au Jeshi la Polisi?

    Ninaomba msaada juzi nilipigwa tochi maeneo ya gogoni kibamba nikiwa speed 59 na maelekezo niliyopewa na CPI 4149 ni kuwa lazima nikalipie bank au kwenye mitandao ya simu ila isiwe maximalipo. Wakati wa kulipa nikashangaa kidogo ukiingiza kumbukumbu namba 888999 inakupa; 4GA6PZZDOY Confirmed...
  14. Dazzle 2

    JamiiForums Tanzania Sanchoka: Bila mahari ya milioni 10 siolewi

    Dada yangu acha kujifanganya thamani ya mwanamke haipo katika kutolewa mahari kubwa. Love is beyond that. Unaweza pata wa kukulipia hadi milioni hamsini lakini ukawa umenunua Jehanamu duniani. Omna Mungu akupe Mume atakay kupenda, kukuheshimu na kukujali ukiwa mzima na katika hali ya ugonjwa...
Back
Top Bottom