Naona jukwaa limeingiliwa. Kweli great Thinker anaweza kujadili kuhusu mke wa mtu????? Kwani Wassira amekuwa akiambatana na mkewe ziarani? Au Mwigulu? Au Mbatia?....Why Mbowe? Leteni issues tujadili sio watu.
Antibiotics inatibu zaidi ya ugonjwa mmoja, ikiwemo mafua. Bahati mbaya siko nyumbani ningekusomea jina la dawa niliyotumia, ilinisaidia sana ila ina jina gumu kidogo. Nina wasiwasi na kuwauza kuku waliotoka kutumia dawa. Vp kuhusu usalama wa walaji?
Itakuwa ni mafua. nenda duka la dawa za mifugo nunua antibiotics yoyote ya kuku, utapewa maelekezo zaidi ya jinsi ya kuwapatia, watapona tu. nami niliwahi kupata tatizo kama lako, limeisha. Pole sana.
I know, zitatumika kwa posho mbalimbali, mafuta ya magari ya kuwasha kudhibiti maandamano ya cdm na safari za nje za mkuu wa magogoni.
Mbona wanazidi kutoa misamaha ya kodi kwa wawekezaji wa migodi na gesi (eti kuvutia wawekezaji), kwani hizo bilioni hawazitaki?????
Hivi ni lazima kila mahali (Darfur, Lebanon, nk) tupeleke sisi watz majeshi ya kulinda amani? isije kuwa ni kiherehere chetu kuonesha aliye magogoni ni mjeshi. Maana sisikii nchi jirani wakipeleka majeshi hayo. Kuuliza si ujinga jamani....
Wadau, niko Dar na nina shamba la heka 2, nataka kuanza project ya ufugaji Kitimoto. ni wapi nitapata mtaalamu wa mifugo anielekeze jinsi ya kuanza na kuwatunza vizuri?
Mkuu wa Wilaya ya Arusha Ndugu John Mongela amebatilisha agizo la Mbunge wa Arusha Mjini Mh. Godbless Lema la kuifunga shule ya msingi Korona na kuagiza wanafunzi kuhakikisha wanahudhuria masomo jumatatu kama kawaida.
DC amedai kwamba mbunge hana mamlaka kuifunga shule, na agizo lake ni kinyume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.