Rushwa tupu, rushwa tupu! mchango wa maprofesa kwa hii nchi ni mdogo sana, angalieni performance zao wote, naamini wakibaki vyuoni watasaidia kuliko kuja majukwaani, hali ndiyo hii. Issue ya kujulikana kimataifa is non of our business, issue hapa ni performance. Profesa gani asiyejua sheria ya...
Jamani wadau naomba kufahamishwa mambo machache hasa dhidi ya wasomi wetu, nimepata tetesi kuwa Pr. Anna Tibaijuka na Dr wetu aliyekuwa UN kwamba waliondolewa kwa sababu ya uwezo mdogo wa kushughulikia maswala makubwa ya umoja wa mataifa na kwamba Dr wetu ameweka historia kwa kuhudumu only only...
Kabla ya kuwa naye uliweza kuishi mwenyewe, thus usipende kwa asilimia mia cos ni rafiki na chochote chaweza tokea mkiwa njiani, kama marafiki mlivyoachana naye siku moja ataondoko. Akiondoka pata nafasi ya kubadili, kama alikuwa mrefu jaribu na mfupi, mwembamba jaribu na mnene, maisha lazima...
Kwa kuwa hii ni sehemu muafaka ya kupeana ushauri, mimi nadhani ni busara ukaenda kanisani kama unaamini uwepo wa mungu wao watakuombea na watamuombea mkeo pia, na atarudi katika hali ya kawaida kabisa, cha msingi imani, ukikimbilia kwa mganga ni kwamba mtashindana kwa nguvu za giza na mwisho na...
Simkubali Chenge kwa matendo yake na jeuri, ana taaluma nzuri na yuko smart "intelligent" lakini kama tukitukia taaluma zetu vibaya tutaliangamiza taifa, watoto na wajukuu zetu tutawaambia nini? Kumbukeni ishu zote chafu za pesa huyu braza lazima awepo nyuma, why, why, why
Lazima uende mpendwa, kama kila kitu kimekamilika waweza kumtuma mtu akamalizia cha msingi uhakikishe land form No. 29 Na 30 na supporting documents ziko poa
Tunatambua mahitaji ta wadau mbalimbali katika kudai haki mbalimbali, najua siyo yote yanaweza kuelezeka hapa kwa jamii forum, kuna mambo ambayo ni so personal mtu hawezi kujieleza humu, mwenye swala lolote anaweza kunitumia email kwa email ya rsongea@yahoo.com ili kusaidiana kwa mambo haya, na...
Mtazamo wangu ni kwamba kwa wakati tulionao sasa, sehemu pekee ambapo pana pesa ambapo mtu hatumii nguvu kuzipata ni kwenye siasa, kwa msingi huo kila mtu anapenda kuelekea huko, matokeo yake wanataaluma wwengi wakipata nafasi wanajichanganya huko. Nafahamu kila mtu ana haki ya kuchagua au...
Ukipata matokeo ya bwana Sendeka hautashangaa matamshi yake, elimu na uwajibikaji vinakwenda sambamba, anapingana na dhana ya uwajibikaji kama ambavyo ccm wanahubiri katika mikutano yao. Hapo ndio anapokosea wakubali kuongoza kwa mifano, kujiuzulu ndio msingi wa utumishi bora kwa kuwa mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.