Wakati CDM wapo site wanafanya active political maneuver kwa ufundi, utulivu na ubunifu mithili ya pasi mpalazo za Lamine Yamal pale Camp Nou,CCM walikuwa busy maghetoni wanafanya political masterbation utafikiri janja aliyepaka mkongo halafu demu akala nauli!
Heche ananikumbusha mbali sana...
Mwanaume unaanzaje kumshawishi mwanaume mwenzako akukaze? Na mwanaume inakuaje hadi mwanaume mwenzako anakushawishi umkaze! Mnakuwa kwenye situation Gani hadi topic kama hiyo inaibuka? Ni ajabu sana! Na muda wa kukazana ukifika mna enjoy nini miili yenu wote haina mafuta? Yaani kushika Tako la...
Majadiliano kuhusu maridhiano ni baina ya CCM na CHADEMA! Wanaotakiwa kuridhiana ni hivyo vyama viwili! Kuwaacha CHADEMA kwenye majadiliano ni kuongeza matatizo mengine! Tupo hapa tulipo na Kila dhahma iliyotokea chanzo Chake ni CCM kuidharau CHADEMA! CCM imejikuta shimoni inachotakiwa kufanya...
Kwa Kila kinachoendelea sasa hivi kinadhibitisha kwamba waziri mkuu wetu anamaindi vitu vidogo sana, ana poor emotional intelligence! Sasa akiendelea hivi atachoka sana
Mbona hili swali umejibiwa mara nyingi tu kwamba wao (atheists) kutokumjua Creator wa universe haimaniishi ndio imekuwa created na Mungu! Na wamesema hivyo sababu idea nzima ya uwepo wa Mungu, uwezo wake na namna alivyoumba dunia inajipinga yenyewe! Na wakasema kazi ya kudhibitisha uwepo wa...
Yaah hilo SoMo ndio nililipata siku Ile! Niliogopa kila kitu kilikuwa kimetokea haraka sana na dereva wa gari hakuonekana kujali ila jingine niliwaza barabara nyembamba kama Ile unaendaje spidi Kali namna Ile tena mitaa yenye watu wengi? Ajabu sana ambavyo watu hawajali usalama!
Ilikuwa mida ya saa Saba mchana nimepiga zangu headphones masikioni sauti kubwa nakula ngoma baada ya ngoma Sina habari! Mitaa ya Temeke napita pembeni ya barabara mdogo mdogo!
Kuna gari land cruiser ikawa inatoka nyuma yangu ipo kibati utafikiri imeibwa, halafu barabara yenyewe ilikuwa...
Sasa hata akikutafuta unadhani itabadili nini? Kama hukuwahi kutengeneza bond wakati akiwa mdogo unadhani utaweza wakati akiwa mkubwa? Kwanza unakubali vipi mwanao afundishwe maadili, Mila na desturi na baba mwingine? Atakapokuja kila mtu atamuona mwenzake stranger na hapo ili mambo yende...
Lawama ni matokeo ya kile kilichofanyika tofauti na matarajio huku chanzo ukiwa ni wewe! Ili usilaumiwe basi hakikisha kila wakati unatenda sawasawa na matarajio japo hilo haliwezekani maana wewe sio malaika! Kulaumiwa ni sehemu ya kuwajibika kwa ulilofanya!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.