Sasa hata akikutafuta unadhani itabadili nini? Kama hukuwahi kutengeneza bond wakati akiwa mdogo unadhani utaweza wakati akiwa mkubwa? Kwanza unakubali vipi mwanao afundishwe maadili, Mila na desturi na baba mwingine? Atakapokuja kila mtu atamuona mwenzake stranger na hapo ili mambo yende...
Lawama ni matokeo ya kile kilichofanyika tofauti na matarajio huku chanzo ukiwa ni wewe! Ili usilaumiwe basi hakikisha kila wakati unatenda sawasawa na matarajio japo hilo haliwezekani maana wewe sio malaika! Kulaumiwa ni sehemu ya kuwajibika kwa ulilofanya!
Na hapo ni ego tu ndio inayomsumbua! Ile taarifa kwamba bi dada kaolewa na ana familia Kuna namna inamfanya ajihisi amezidiwa kete! Anataka kuprove urijali wake! Ataharibu familia ya bi dada, ataharibu familia yake, ataharibu future ya huyo mtoto!
Kabisa... Si umeona maelezo ya jamaa eti alizungumza nae kwa heshima, halafu aliijua sauti mapema tu! Vi details vidogo vidogo ndio vinafufuaga mapenzi baada ya hapo kitakachotokea atajutia siku aliyoiona hiyo namba kwenye diary!
Hivi mpo sawa kweli? Au mna mental issues? Unakereka vipi mtu anafanya jambo lake ambalo halikuathiri hata kidogo? Binafsi sijali chochote na kadri siku zinavyosonga nawaelewa watu kwanini wanafanya wanayoyafanya na sijaji kitu!
Kuna dada mmoja ni waitress huwa anapost memes tu za vichekesho...
Fetty juzi amekula kitengo, boss. Ncha kali kala kitengo, boss. When it comes to Fiesta, Bdozen ana kitengo chake pia ana brand yake, so ni boss. Mumybaby ana project yake, dadahood, kimsingi ana jambo lake Kuna movement inaonekana! Kennedy the remedy personality yake inaonekana ana focus...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.