Recent content by dawa yenu

  1. dawa yenu

    JamiiForums Tanzania POLITICAL MANEUVER VS POLITICAL MASTERBATION

    Wakati CDM wapo site wanafanya active political maneuver kwa ufundi, utulivu na ubunifu mithili ya pasi mpalazo za Lamine Yamal pale Camp Nou,CCM walikuwa busy maghetoni wanafanya political masterbation utafikiri janja aliyepaka mkongo halafu demu akala nauli! Heche ananikumbusha mbali sana...
  2. dawa yenu

    JamiiForums Tanzania Hapa atatoka Rais wa Tanzania 2030. Tunzeni huu Uzi

    Heeh Hadi Joel Nanauka? Kwa kipi? Kwa uwezo upi? Kwa uzoefu Gani? Au ni vibe tu? Makonda? Duuh
  3. dawa yenu

    JamiiForums Tanzania Kama kweli wapenzi wa jinsia moja huvutiwa na jinsia zao wenyewe, Kwanini mmoja wao lazima ajifanye ana tabia za jinsia nyingine?

    Mwanaume unaanzaje kumshawishi mwanaume mwenzako akukaze? Na mwanaume inakuaje hadi mwanaume mwenzako anakushawishi umkaze! Mnakuwa kwenye situation Gani hadi topic kama hiyo inaibuka? Ni ajabu sana! Na muda wa kukazana ukifika mna enjoy nini miili yenu wote haina mafuta? Yaani kushika Tako la...
  4. dawa yenu

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wakisusia maridhiano watasusia na vikao vya kuandika Katiba Mpya?

    Majadiliano kuhusu maridhiano ni baina ya CCM na CHADEMA! Wanaotakiwa kuridhiana ni hivyo vyama viwili! Kuwaacha CHADEMA kwenye majadiliano ni kuongeza matatizo mengine! Tupo hapa tulipo na Kila dhahma iliyotokea chanzo Chake ni CCM kuidharau CHADEMA! CCM imejikuta shimoni inachotakiwa kufanya...
  5. dawa yenu

    JamiiForums Tanzania Mojtaba Khamenei achaguliwa kumrithi hayati baba yake…

    Na ugumu wa hii vita nauona hapo! Kufa hawaoni ishu kabisa
  6. dawa yenu

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayalla hapo lazima wamnase. Kwa sababu hakuna uthibitisho wa kuchambua mtu hisia na mihemko yake

    Kwa Kila kinachoendelea sasa hivi kinadhibitisha kwamba waziri mkuu wetu anamaindi vitu vidogo sana, ana poor emotional intelligence! Sasa akiendelea hivi atachoka sana
  7. dawa yenu

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Samia Squad yaanzishwa, lengo kuu ni kumsifu Rais Samia ili kujipatia hela za kujikimu

    Samia gang, Samia squad, Samia watu wafupi, mama ongea na mwanao (waigizaji) Bado Samia comedians, Samia boxing, Samia maandazi, Samia, wafugaji, Samia watangazaji, Samia.... Samia... Samia.... Wakiwa wengi sana hawatalipwa vizuri
  8. dawa yenu

    JamiiForums Tanzania Kajala ni bibi wa ovyo. P.Funky ana roho ngumu. Harmonize ushamba haujamtoka?

    Pole sana mkuu! Inaonekana unaumia sana
  9. dawa yenu

    JamiiForums Tanzania Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

    Mbona hili swali umejibiwa mara nyingi tu kwamba wao (atheists) kutokumjua Creator wa universe haimaniishi ndio imekuwa created na Mungu! Na wamesema hivyo sababu idea nzima ya uwepo wa Mungu, uwezo wake na namna alivyoumba dunia inajipinga yenyewe! Na wakasema kazi ya kudhibitisha uwepo wa...
  10. dawa yenu

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kunusurika kifo? Ulijisikiaje vile unaona kabisa unaondoka

    Yaah hilo SoMo ndio nililipata siku Ile! Niliogopa kila kitu kilikuwa kimetokea haraka sana na dereva wa gari hakuonekana kujali ila jingine niliwaza barabara nyembamba kama Ile unaendaje spidi Kali namna Ile tena mitaa yenye watu wengi? Ajabu sana ambavyo watu hawajali usalama!
  11. dawa yenu

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kunusurika kifo? Ulijisikiaje vile unaona kabisa unaondoka

    Ilikuwa mida ya saa Saba mchana nimepiga zangu headphones masikioni sauti kubwa nakula ngoma baada ya ngoma Sina habari! Mitaa ya Temeke napita pembeni ya barabara mdogo mdogo! Kuna gari land cruiser ikawa inatoka nyuma yangu ipo kibati utafikiri imeibwa, halafu barabara yenyewe ilikuwa...
  12. dawa yenu

    JamiiForums Tanzania Wamama wananguvu kubwa ya ushawishi kwa watoto, kuwa makini kama umezaa na mwanamke ambaye hauishinaye

    Sasa hata akikutafuta unadhani itabadili nini? Kama hukuwahi kutengeneza bond wakati akiwa mdogo unadhani utaweza wakati akiwa mkubwa? Kwanza unakubali vipi mwanao afundishwe maadili, Mila na desturi na baba mwingine? Atakapokuja kila mtu atamuona mwenzake stranger na hapo ili mambo yende...
  13. dawa yenu

    JamiiForums Tanzania It hurts me when no one will notice where ever I go

    Ukivumilia Hadi mwakani utagundua una sababu nyingi za kuendelea kuishi kuliko kufikiria hicho unachofikiria!
  14. dawa yenu

    JamiiForums Tanzania It hurts me when no one will notice where ever I go

    Unaweza ukahisi umeandika kitu kidogo lakini kinaweza kubadirisha maamuzi ya mtu! Hii inaonyesha una utu! Mungu atakubariki kwa hilo!
  15. dawa yenu

    JamiiForums Tanzania Wadada wenye tabia hizi nawachulia kama Sociopaths

    Lawama ni matokeo ya kile kilichofanyika tofauti na matarajio huku chanzo ukiwa ni wewe! Ili usilaumiwe basi hakikisha kila wakati unatenda sawasawa na matarajio japo hilo haliwezekani maana wewe sio malaika! Kulaumiwa ni sehemu ya kuwajibika kwa ulilofanya!
Back
Top Bottom