Recent content by dawa yenu

  1. dawa yenu

    Wamama wananguvu kubwa ya ushawishi kwa watoto, kuwa makini kama umezaa na mwanamke ambaye hauishinaye

    Sasa hata akikutafuta unadhani itabadili nini? Kama hukuwahi kutengeneza bond wakati akiwa mdogo unadhani utaweza wakati akiwa mkubwa? Kwanza unakubali vipi mwanao afundishwe maadili, Mila na desturi na baba mwingine? Atakapokuja kila mtu atamuona mwenzake stranger na hapo ili mambo yende...
  2. dawa yenu

    It hurts me when no one will notice where ever I go

    Ukivumilia Hadi mwakani utagundua una sababu nyingi za kuendelea kuishi kuliko kufikiria hicho unachofikiria!
  3. dawa yenu

    It hurts me when no one will notice where ever I go

    Unaweza ukahisi umeandika kitu kidogo lakini kinaweza kubadirisha maamuzi ya mtu! Hii inaonyesha una utu! Mungu atakubariki kwa hilo!
  4. dawa yenu

    Wadada wenye tabia hizi nawachulia kama Sociopaths

    Lawama ni matokeo ya kile kilichofanyika tofauti na matarajio huku chanzo ukiwa ni wewe! Ili usilaumiwe basi hakikisha kila wakati unatenda sawasawa na matarajio japo hilo haliwezekani maana wewe sio malaika! Kulaumiwa ni sehemu ya kuwajibika kwa ulilofanya!
  5. dawa yenu

    Hatari, nimeongea na Ex-Wangu, nimejisikia vizuri sana

    Na hapo ni ego tu ndio inayomsumbua! Ile taarifa kwamba bi dada kaolewa na ana familia Kuna namna inamfanya ajihisi amezidiwa kete! Anataka kuprove urijali wake! Ataharibu familia ya bi dada, ataharibu familia yake, ataharibu future ya huyo mtoto!
  6. dawa yenu

    Hatari, nimeongea na Ex-Wangu, nimejisikia vizuri sana

    Kabisa... Si umeona maelezo ya jamaa eti alizungumza nae kwa heshima, halafu aliijua sauti mapema tu! Vi details vidogo vidogo ndio vinafufuaga mapenzi baada ya hapo kitakachotokea atajutia siku aliyoiona hiyo namba kwenye diary!
  7. dawa yenu

    Hatari, nimeongea na Ex-Wangu, nimejisikia vizuri sana

    Achana na huo mpango wa kuonana nae! Mtafufua matatizo mengi Sana katika familia zenu! Bado mnapendana ibaki tu hivyo msionane!
  8. dawa yenu

    CDF mstaafu Mabeyo amelikoroga, Makamu wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais

    Balaa halafu watu wakajikuta ni wataalamu wa itifaki na masuala ya usalama wa taifa!
  9. dawa yenu

    CDF mstaafu Mabeyo amelikoroga, Makamu wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais

    Ameongea kipi kibaya? Unataka Mwamunyange aongeze kitu ambacho wakati kunatokea hakuwepo?
  10. dawa yenu

    JamiiForums Usiku wa manane

    2:27 am
  11. dawa yenu

    Status za WhatsApp zinatuonesha jinsi tulivyo na tunajichora tu kwa wengine

    Hapana sikufanya hivyo but kwa yeyote ambaye atajaribu kuingia nae kwenye mahusiano atateseka Sana! Binti anafanya kuliwa tu nothing serious..
  12. dawa yenu

    Status za WhatsApp zinatuonesha jinsi tulivyo na tunajichora tu kwa wengine

    Hivi mpo sawa kweli? Au mna mental issues? Unakereka vipi mtu anafanya jambo lake ambalo halikuathiri hata kidogo? Binafsi sijali chochote na kadri siku zinavyosonga nawaelewa watu kwanini wanafanya wanayoyafanya na sijaji kitu! Kuna dada mmoja ni waitress huwa anapost memes tu za vichekesho...
  13. dawa yenu

    JamiiForums Usiku wa manane

    Amen
  14. dawa yenu

    Adam Mchomvu hakui?

    Fetty juzi amekula kitengo, boss. Ncha kali kala kitengo, boss. When it comes to Fiesta, Bdozen ana kitengo chake pia ana brand yake, so ni boss. Mumybaby ana project yake, dadahood, kimsingi ana jambo lake Kuna movement inaonekana! Kennedy the remedy personality yake inaonekana ana focus...
  15. dawa yenu

    JamiiForums Usiku wa manane

    05:30AM Baina yangu na mafanikio tumetenganishwa na muda. sio muda mrefu, millisecond
Back
Top Bottom