Recent content by dawa yenu

  1. dawa yenu

    Mojtaba Khamenei achaguliwa kumrithi hayati baba yake…

    Na ugumu wa hii vita nauona hapo! Kufa hawaoni ishu kabisa
  2. dawa yenu

    Pascal Mayalla hapo lazima wamnase. Kwa sababu hakuna uthibitisho wa kuchambua mtu hisia na mihemko yake

    Kwa Kila kinachoendelea sasa hivi kinadhibitisha kwamba waziri mkuu wetu anamaindi vitu vidogo sana, ana poor emotional intelligence! Sasa akiendelea hivi atachoka sana
  3. dawa yenu

    PreGE2025 Samia Squad yaanzishwa, lengo kuu ni kumsifu Rais Samia ili kujipatia hela za kujikimu

    Samia gang, Samia squad, Samia watu wafupi, mama ongea na mwanao (waigizaji) Bado Samia comedians, Samia boxing, Samia maandazi, Samia, wafugaji, Samia watangazaji, Samia.... Samia... Samia.... Wakiwa wengi sana hawatalipwa vizuri
  4. dawa yenu

    Kajala ni bibi wa ovyo. P.Funky ana roho ngumu. Harmonize ushamba haujamtoka?

    Pole sana mkuu! Inaonekana unaumia sana
  5. dawa yenu

    Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

    Mbona hili swali umejibiwa mara nyingi tu kwamba wao (atheists) kutokumjua Creator wa universe haimaniishi ndio imekuwa created na Mungu! Na wamesema hivyo sababu idea nzima ya uwepo wa Mungu, uwezo wake na namna alivyoumba dunia inajipinga yenyewe! Na wakasema kazi ya kudhibitisha uwepo wa...
  6. dawa yenu

    Ulishawahi kunusurika kifo? Ulijisikiaje vile unaona kabisa unaondoka

    Yaah hilo SoMo ndio nililipata siku Ile! Niliogopa kila kitu kilikuwa kimetokea haraka sana na dereva wa gari hakuonekana kujali ila jingine niliwaza barabara nyembamba kama Ile unaendaje spidi Kali namna Ile tena mitaa yenye watu wengi? Ajabu sana ambavyo watu hawajali usalama!
  7. dawa yenu

    Ulishawahi kunusurika kifo? Ulijisikiaje vile unaona kabisa unaondoka

    Ilikuwa mida ya saa Saba mchana nimepiga zangu headphones masikioni sauti kubwa nakula ngoma baada ya ngoma Sina habari! Mitaa ya Temeke napita pembeni ya barabara mdogo mdogo! Kuna gari land cruiser ikawa inatoka nyuma yangu ipo kibati utafikiri imeibwa, halafu barabara yenyewe ilikuwa...
  8. dawa yenu

    Wamama wananguvu kubwa ya ushawishi kwa watoto, kuwa makini kama umezaa na mwanamke ambaye hauishinaye

    Sasa hata akikutafuta unadhani itabadili nini? Kama hukuwahi kutengeneza bond wakati akiwa mdogo unadhani utaweza wakati akiwa mkubwa? Kwanza unakubali vipi mwanao afundishwe maadili, Mila na desturi na baba mwingine? Atakapokuja kila mtu atamuona mwenzake stranger na hapo ili mambo yende...
  9. dawa yenu

    It hurts me when no one will notice where ever I go

    Ukivumilia Hadi mwakani utagundua una sababu nyingi za kuendelea kuishi kuliko kufikiria hicho unachofikiria!
  10. dawa yenu

    It hurts me when no one will notice where ever I go

    Unaweza ukahisi umeandika kitu kidogo lakini kinaweza kubadirisha maamuzi ya mtu! Hii inaonyesha una utu! Mungu atakubariki kwa hilo!
  11. dawa yenu

    Wadada wenye tabia hizi nawachulia kama Sociopaths

    Lawama ni matokeo ya kile kilichofanyika tofauti na matarajio huku chanzo ukiwa ni wewe! Ili usilaumiwe basi hakikisha kila wakati unatenda sawasawa na matarajio japo hilo haliwezekani maana wewe sio malaika! Kulaumiwa ni sehemu ya kuwajibika kwa ulilofanya!
  12. dawa yenu

    Hatari, nimeongea na Ex-Wangu, nimejisikia vizuri sana

    Na hapo ni ego tu ndio inayomsumbua! Ile taarifa kwamba bi dada kaolewa na ana familia Kuna namna inamfanya ajihisi amezidiwa kete! Anataka kuprove urijali wake! Ataharibu familia ya bi dada, ataharibu familia yake, ataharibu future ya huyo mtoto!
  13. dawa yenu

    Hatari, nimeongea na Ex-Wangu, nimejisikia vizuri sana

    Kabisa... Si umeona maelezo ya jamaa eti alizungumza nae kwa heshima, halafu aliijua sauti mapema tu! Vi details vidogo vidogo ndio vinafufuaga mapenzi baada ya hapo kitakachotokea atajutia siku aliyoiona hiyo namba kwenye diary!
  14. dawa yenu

    Hatari, nimeongea na Ex-Wangu, nimejisikia vizuri sana

    Achana na huo mpango wa kuonana nae! Mtafufua matatizo mengi Sana katika familia zenu! Bado mnapendana ibaki tu hivyo msionane!
  15. dawa yenu

    CDF mstaafu Mabeyo amelikoroga, Makamu wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais

    Balaa halafu watu wakajikuta ni wataalamu wa itifaki na masuala ya usalama wa taifa!
Back
Top Bottom