Recent content by Dawa ya Mjinga

  1. D

    Sheria ya utumishi wa umma ikoje juu ya umri wa Dkt. Slaa?

    Bahati nzuri Dr. Slaa, kwa muda mrefu amekuwa balozi mwaminifu wa "Tanzania" nchini CHADEMA. Read between the lines. Kwa hiyo ana sifa zote. Nasema tena anazo sifa zote. Poleni "wapinzani".
  2. D

    Anna Mghwira aipondea ACT Wazalendo

    Hakutakuwa na ajabu yoyote. Huoni kuwa ndio "wapinzani" pekee walioshirikishwa kwenye serikali ya sasa? ACT = Asasi ya Chama Tawala (Asasi ya CCM Tanzania)
  3. D

    Nadhani hii ndo hitimisho la mijadala kuhusu wanafunzi waliopata mimba

    Ninakubaliana nawe asilimia zote. Mie Dawayamjinga sijaona wala kusikia kuwa binti wa raisi wa nchi hii amewahi kupata dhahama ya kupewa mimba. Sababu sizifahamu. Ila jambo moja ninajua kuwa kama mabinti wote wanaosoma wangetambulika kuwa ni watoto wa raisi (kama mnavyotaka kuzifanya...
  4. D

    Rais Magufuli alaumiwa kwa kutoa punguzo la pango kwa wanafunzi UDSM

    Juzi tu niliota ndoto kuwa huko tuendako wanaosoma vyuo vya serikali watapewa mkopo wa kulipia ada na chakula na mengineyo. Lakini pa kulala, fedha itakuwa inapelekwa chuo husika moja kwa moja ili wakae mabwenini. Tena ndoto ikaendelea kuwa anayetaka kuishi mtaani, (huyo ana uwezo) atatakiwa...
  5. D

    Askofu Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

    Na wewe Rafiki yake Gwajima Mungu anakuonya hivi: "Usifanye urafiki na mtu mwenye hasira nyingi; Wala usiende na mtu wa ghadhabu nyingi; Usije ukajifunza njia zake; Na kujipatia nafsi yako mtego." (MITHALI 22:24-25) Rafiki umebadili gia majini? Si wewe ulisema kuwa Yesu alisamehe tu kila...
  6. D

    Askofu Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

    Hebu soma maneno kutoka kwenye Biblia (usimsingizie Yesu bure), tuone kama kweli aliposingiziwa alisamehe (kila wakati)? Soma Yohana 8:39-44 (kama nilivyonukuu hapa chini). 39 Wakajibu, wakamwambia, Baba yetu ndiye Ibrahimu! Yesu akawaambia, Kama mngekuwa watoto wa Ibrahimu, mngezitenda kazi...
  7. D

    Mbowe ameshindwa kesi kabla hata haijaanza!

    Mtaalam, huko sahihi. Weheshimiwa katika vita ya madawa ya kulevya wamegundua kuwa kuna dawa za kulevya ambazo zinahatarisha sana maisha yao. Hizo ni demokrasia na upinzani. Wamegundua kuwa watumiaji wa dawa hizo si tu kwamba wanaathirika wenyewe lakini wanaambukiza wengine na kufanya maisha...
  8. D

    Baada ya Machali nani anafuata?

    Kuna mnyama mmoja ambaye ni maarufu sana kula matapishi yake. Kumbe wanyama hao wana watoto miongoni mwa binadamu!
  9. D

    Makosa yale yale kwenye elimu-maamuzi ya mtu mmoja

    Dawa ya Mjinga alidhani kuwa madhali rais alikuwa mwalimu, first lady naye, akadokezwa kuwa hata waziri mkuu eti aliwahi kukamata chaki na kuongeza waziri mwenyewe wa elimu kuwa profesa aliyebobea katika masuala ya elimu, basi elimu iko kwenye mikono salama. Kumbe! Alichoeleza mtoa mada ni...
  10. D

    Eti uchochezi, uchochezi gani?

    MADIKTETA WOTE DUNIANI HUFANANA Madikteta wote wanafanana; wawe ni wale ambao ni mtu mmoja mmoja au wawe wa chama kimoja; kufanana kwao kunatabiri vitendo vyao. Hufanana katika mambo makubwa matano: a. Huamini kuwa wao ndio pekee wenye uwezo wa kutawala (Katika fikra zao hawaamini kama kuna...
  11. D

    Eti uchochezi, uchochezi gani?

    Amani ya watawala.
  12. D

    Eti uchochezi, uchochezi gani?

    Pengine walikuwa sawa. Swali ni kuwa huyo Mungu alichaguo hilo changuo ni mungu yupi? Ukipata jibu la swali hilo wala hutapingana nao. Wako miungu wengi tu, hata kama mtu ameamua kumwandika kwa herufi kubwa haimaanishi chochote.
  13. D

    Mnasema Rais Magufuli ni dikteta? Angalieni historia ya Nape Nnauye kwa muda mfupi tu!

    MADIKTETA WOTE DUNIANI HUFANANA Madikteta wote wanafanana; wawe ni wale ambao ni mtu mmoja mmoja au wawe wa chama kimoja; kufanana kwao kunatabiri vitendo vyao. Hufanana katika mambo makubwa matano: a. Huamini kuwa wao ndio pekee wenye uwezo wa kutawala (Katika fikra zao hawaamini kama kuna...
  14. D

    Tundu Lissu: Mwigulu anahusika na mauaji ya polisi CRDB Mbande?

    Angalizo: "Ukifuata asali utaumwa na nyuki"
Back
Top Bottom