Katasheka jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2016
- 528
- 359
Lowasa, Sumaye, atamalizia mzee WA gia...kila mtu anayo haki kamili ya kujiunga na chama cha siasa atakacho lakini ni kweli Machali anaipenda CCM au kuna kitu kilichomsukuma kurudi CCM? ni kitu gani hasa hicho?. Hakuna asiyebandikwa bei mgongoni!!