Anna Mghwira aipondea ACT Wazalendo

Anna Mghwira aipondea ACT Wazalendo

Siasa ndizozilizomfanya akaonekana na kupata ukuu wa mkoa.
 
Chadema wana wivu na Mkuu wa Mkoa wa kilimanjaro.
 
Zitto anataka awe mfalme wa ACT
89383354d77d669eb175de7f76e2fe46.jpg

Ashawekwa kwenye target tayari hahaha
 
huyu toka kitambo alitafutwa kuja kuharibu kura, na hatimae kazawadiwa cheo, hawa ni masisiemu kwa ujumla wao chamani
 
"Kama siyo siasa za ubabaishaji Wa siasa za Tanzania, nisingeondolewa kwenye uenyekeiti Mara baada ya kuteuliwa" by Anna
hayo yamesemwa na mgombea Wa urais 2015 kwa tiketi ya chama cha ACT wazalendo

Source: Mwananchi - instagram

mama mama "MAMA" mama huyo "MAMA MAMA HUYO MAMA MAMA HUO MAMA, MAMA HUYOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Ukishaolewa lazima uwakatae wanaume uliokuwanao awali ilikulinda heshima ya ndoa yako,ndicho anachofanya mama mgwhira kwa sasa
 
"Kama siyo siasa za ubabaishaji Wa siasa za Tanzania, nisingeondolewa kwenye uenyekeiti Mara baada ya kuteuliwa" by Anna
hayo yamesemwa na mgombea Wa urais 2015 kwa tiketi ya chama cha ACT wazalendo

Source: Mwananchi - instagram

mama mama "MAMA" mama huyo "MAMA MAMA HUYO MAMA MAMA HUO MAMA, MAMA HUYOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Ninamheshimu sana huyu mama tangu wakati wa campaign lakini kwa hilo amekosea. Haingii akili kwa kiongozi mkuu wa chama cha upinzani akawa ni mjumbe wa vikao vya chama tawala. Hapo atalazimika kukisaliti kimoja kati ya hivyo na kwa maslahi ya kila siku yanategemea uhusiano wake na mwenyekiti wa chama tawala uwezekano mkubwa ni wa kukisaliti chama cha upinzani ACT. Mama ilibidi achague kati ya uenyekiti wa ACT na uRC.
 
Kama huyo mama alikuwa pandikizi, sawa kusema hayo. Vinginevyo hata kama kuna mapungufu kafanyiwa na act, kwa mwenye busara bado ana wajibu wa kukishukuru chama hicho. Ni kurunzi ya act iliyo mumlika na kuonwa na walio mweka alipo.
 
Kama huyo mama alikuwa pandikizi, sawa kusema hayo. Vinginevyo hata kama kuna mapungufu kafanyiwa na act, kwa mwenye busara bado ana wajibu wa kukishukuru chama hicho. Ni kurunzi ya act iliyo mumlika na kuonwa na walio mweka alipo.
Mnyiramba akishiba huwa akumbuki hata kidogo.
 
Back
Top Bottom