Wakuu nimerudi na uzushi tena🤣🤣🤣
Saivi ni Kwa wale wasomi wenye 25+yrs 🤣
SWALI NI; Je unajutia kusoma profession uliyosomea?
Kama ungepewa nafasi ya kuchagua tena ungesoma kozi ipi 🧐??
🙏🙏
Natanguliza shukrani Jumapili njema kwenu wadau
🙏🙏🙏Nikithibitisha tu napiga chini kesho yake anaingia mwingine mkuu
Mimi mwanaume napamban na kazi ngumu uko sembuse mwanamke ntamdrop ila kuoa siachi naoa mwingine💯💯
Wakuu habar za jpil
Nina swali la uzushi apa kwa wanaume.
Ilikuwaje mpaka ukamfumania mke/mpenzi wako(yaani ulitumia mbinu gani) na ulifanya maamuzi gani baada ya kumfumania??
Twende kazi wakuu!
🙏🙏🙏
💯💯Pia graduates waache woga WA kuthubutu kufanya mambo kama wanaogopa kufanya nyumbani basi wahame waende ugenini kwenye confidence wafanye uko .
Hakuna asiye na plan wote tuna plans hasa wasomi shida ni kuanza kufanya tunajiona kama tuna hadhi ya juu hivo hatutakiwi kuanza chini kama ilivyo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.