Recent content by Davives

  1. D

    Ungesoma kozi/program gani??

    Wakuu nimerudi na uzushi tena🤣🤣🤣 Saivi ni Kwa wale wasomi wenye 25+yrs 🤣 SWALI NI; Je unajutia kusoma profession uliyosomea? Kama ungepewa nafasi ya kuchagua tena ungesoma kozi ipi 🧐?? 🙏🙏 Natanguliza shukrani Jumapili njema kwenu wadau
  2. D

    Fumanizi

    Kwan namna watu hamfunguki inaonekana yamewakuta mengi sana kwenye hii dunia
  3. D

    Fumanizi

    🤣🤣🤣🤣 Apana mkuu
  4. D

    Fumanizi

    Kwamba ntazikwa nazo au 🤣
  5. D

    Fumanizi

    🤣🤣 Kumpenda mtu SI lazima uishi naye
  6. D

    Fumanizi

    Kaka kuishi na anayechepuka ni sawa na kukaaa na laana ndani Bora tupigane chini tu Kila mtu akatafute mwingine
  7. D

    Fumanizi

    🙏🙏🙏Nikithibitisha tu napiga chini kesho yake anaingia mwingine mkuu Mimi mwanaume napamban na kazi ngumu uko sembuse mwanamke ntamdrop ila kuoa siachi naoa mwingine💯💯
  8. D

    Fumanizi

    🤣🤣🤣🙏🙏
  9. D

    Fumanizi

    🤣🤣🤣🤣
  10. D

    Fumanizi

    Ntasemaje kitu nisicho na uhakika nacho, nipo kwenye research
  11. D

    Fumanizi

    Apan mkuu siwez kujiua kisa mwanamke
  12. D

    Fumanizi

    Wakuu habar za jpil Nina swali la uzushi apa kwa wanaume. Ilikuwaje mpaka ukamfumania mke/mpenzi wako(yaani ulitumia mbinu gani) na ulifanya maamuzi gani baada ya kumfumania?? Twende kazi wakuu! 🙏🙏🙏
  13. D

    Ulie kuwa kipanga shuleni na chuo, kama huna kazi/ shughuli inayo kuingizia kipato cha maana, ni kwa sababu umeamua mwenyewe

    💯💯Pia graduates waache woga WA kuthubutu kufanya mambo kama wanaogopa kufanya nyumbani basi wahame waende ugenini kwenye confidence wafanye uko . Hakuna asiye na plan wote tuna plans hasa wasomi shida ni kuanza kufanya tunajiona kama tuna hadhi ya juu hivo hatutakiwi kuanza chini kama ilivyo kwa...
  14. D

    Kwa hiyo Dar hakuna pisi Kali?

    Mkuu ww ndio unaoneka ni WA mkoani kabisa nimekuambia Nina wiki mbili hapa kwaio hizo wiki mbili nashuka tu kwenye basi au nalala mbezi
Back
Top Bottom