Recent content by daviii

  1. D

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Mh. Raisi Wa jamuhuri ya muungano Wa Tanzania, ama waziri mkuu Wa Tanzania, tumeona jinsi vijana wengi walomaliza chuo jinsi mlivo wapa matumaini ya ajira 70,000 na vijana wengi wakashindwa kutafuta fulsa binafsi za kufanya lakin hatimaye mmewachinjia baharini. Si kwamba vijana hawawezi...
  2. D

    Vijana wasiokua na kazi + ugumu wa maisha

    kuna majitu yanakera sana. . unakuta jenyewe lilikosa kazi likaamua kujipendekeza kwa wakubwa ili lihurumiwe lipatiwe hata kibarua cha kufua nguo ... baadaye yanateuliwa kuwa makuu ya ... afu yanaropoka ropoka tu kijinga... Mara ooh vijana wajiajiri.... watumishi wapunguzwe... hovyo kabisa....
  3. D

    Simiyu - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Hii imetokana na ukawa kugombania jimbo. Cuf walisimamisha mgombea udiwan na ubunge na chadema nao vivyo hvyo. Cuf halikuwa jimbo lao ktk mgawanyo ila mgombea wa cuf alikatwa ktk cdm kwa kuwa alishutumiwa ku2mia rusha. Baada ya kukatwa jina lake ndpo akahia cuf na kuchukua form. Adi sasa ccm...
  4. D

    Msaada jinsi ya kuunganisha internet kwenye desk top kwa kutumia modem

    asante sana mkuu, nkikwama ntakutafta kweny namb ulonpa
  5. D

    Msaada jinsi ya kuunganisha internet kwenye desk top kwa kutumia modem

    mkuu, nimenunua computer, nataka niunganishie internet kwa kutumia modem, nauliza kwa sabb sijui jins ya kuunganisha. Comp yenye ni desk top-dell
  6. D

    LEC (Liberal Education Centre): Tunaomba ufadhili wa ujenzi wa Madarasa mawili

    LEC inakusudia kusaidia elimu bure kwa special group. hivyo , wadau wapenda maendeleo, tunaomba ufadhl wenu. 0762767250
  7. D

    LEC (Liberal Education Centre): Tunaomba ufadhili wa ujenzi wa Madarasa mawili

    LEC ni taasisi binafsi ya elimu ambayo tumeanzisha Wilayani Igunga, sisi ni wahitimu wa ualimu Diploma, tupo vijana 5.
Back
Top Bottom