Upasuaji kwa Hospitali za Serikali sio Biashara pamoja na hilo unatakiwa ujue kuna sababu nyingi zinazopelekea mjamzito kufanyiwa upasuaji ikiwemo kumuokoa Mama, Mama na Mtoto au Mtoto peke yake.
Naamini Madaktari waliopo hapa watakuelewesha zaidi.
Umeona kitu eBay hufahamu utakipataje na umekipenda nitumie link kwenye person meseji ya jamii forum pamoja na namba yako nikusaudie kwa gharama nafuu kabisa.
Mimi nimeshanunua simu na vifaa kibao vimefika.
Mfano ni simu unayoiona hapo.
Habari.
Naomba Kwanza nikuelekeze kitu, awali eBay ilikuwa inaaminika Sana hadi kipindi Cha karibuni hapa kuna wana wameingia ndugu yangu usipokuwa makini unaibiwa. Nunua bidhaa kwa mtindo wa auction au mnada hao wanauza kwa mtindo huu eBay wapo realistic, hao wanaouza s9 dola 12 mataperi nunua...
Inaonekana means ulitaka tamko lisisambazwe? Limesambazwa watu wamelisoma na mimi Kama wananchi huru wa Tanzania ninachoelewa hata wewe pia unatumiwa Kuna unaowatetea hawaukubali ushoga ila unakubaliana na mengine yote yalioainishwa kuwa ni sawa, Kama kupinga tuyapinge yote tusichague.
Ila ujue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.