Tatizo la kufika kileleni linatibika kirahisi xana panda gari la moshi inategemea na sehemu ilipo den shuka moshi mjini mkoan Kilimanjaro ukifika moshi mjini ulizia magari ya marangu den ukifika marangu utakuta kuna vituo vingi vya kwenda kileleni inategemea ww unaenda kituo gani kibo au mawezi...
Da thing which can I say is to trust in god at all ili ata ukifa ukimkuta utakuwa na la kujitetea kuliko kutokuhamini den unakutana nae cjui utaificha wapi roho yako
Maisha magumu jamani kuwa mnyonge ni tabu xana tutateseka na hakuna wa kusikia kilio chetu tuendelee kumuombea kiongozi wetu mungu ameona anatufaa huyu muhimu tuzidishe maombi jaman
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.