Recent content by davidkalamata3

  1. D

    Alliance Global in Motion siyo DECI nyingine?

    Hii 2019 kila kitu kiko sawa....makao makuu ya Alliance in Motion Global Tanzania yapo Mikocheni. Unalipa pesa unapewa virutubisho lishe pamoja na receipt ya EFD. Kila siku huwa tunafanya biashara za network marketing lakini hatujui! Ukitaka kujua zaidi nipigie +255767233758
  2. D

    Alliance Global in Motion siyo DECI nyingine?

    Siyo DECI wala sio Ponzi DECI iliiuwa toa pesa upate pesa wao wakisema unapanda mbegu. Ponzi Ni toa pesa upate pesa Allison in Motion Global ni toa hela upate virutubisho lishe na hivyo watu wanatumia na wanapata afya njema wenye changamoto za afya....na pia watu wanajipatia pesa kupitia...
  3. D

    Selection UDSM Kunani, NACTE hawajui?

    Hata hivyo ninyi mlipataje hivyo vyuo vikuu au hapo UDSM wakati vyuo vilikuwa havipo kwenye list ya NACTE
  4. D

    NACTE Imetema, angalieni Profile zenu

    Ofcourse kuna selection ya majina ya 2015/2016 hebu tuwe makini kupata updates
  5. D

    NACTE Imetema, angalieni Profile zenu

    Na pia nimekuwa nikijaribu kufungua sehemu ya udahili wala haifunguki na profile ndio haipatikani kabisaa nitakuwa nakosea wapi
  6. D

    Mkakati wa Lowassa wavuja.Aamua kutumia mamilioni akitangaza nia

    Sio wote wampendao, mimi simpendi
  7. D

    Wakazi wa Musoma Mjini wamuomba Prof Sospeter Muhongo kugombea ubunge

    Ni kweli huyo Prof. ni mzalendo sana kwa wasiomjua wamjue hivyo, japo yeye sidhani kama ana wazo au alishawahi kifikiri kugombea urais. Ni mtendaji mahiri asiyependa blaablaa. Ili afanye kazi na uzalendo wake uonekane yapaswa aachwe huru kwa majukumu yeye mwenyewe na si kwa kuyafanya kwa kivuli...
Back
Top Bottom