Recent content by DavidDaudiMollel

  1. DavidDaudiMollel

    Kwanini Viongozi wetu hawajamtumia vyema Will Smith katika kutangaza utalii wetu.

    Oooh poa kaka... nimeona mipicha online nikaona baadhi ya media kama ya uganda wamepost online kwamba Will Smith Katua Uganda ndo nikajiuliza kwann sisi hatuitumii nafasi hiyo.
  2. DavidDaudiMollel

    Kwanini Viongozi wetu hawajamtumia vyema Will Smith katika kutangaza utalii wetu.

    Sio kumhoji ila kuhakikisha wanatumia media zingine kutangaza ujio wake nimuhimu mno sio lazima wafanye naye matangazo ila kupitia picha zake wanaweza kuzitumia vyema mbona kapiga picha na maguides...
  3. DavidDaudiMollel

    Kwanini Viongozi wetu hawajamtumia vyema Will Smith katika kutangaza utalii wetu.

    Hivi karibuni kumekuwa na urushwaji wa picha za mchekeshaji na muigizaji maarufu wa kimarekani aitwae Will Smith akiwa katika mbuga zetu za wanyama lakini cha ajabu wala sijaona taasisi husika ama wizara wakitumia nafasi hiyo kufanya naye matangazo kuijulisha dunia ujio wake katika mbuga zetu za...
  4. DavidDaudiMollel

    Kuongezeka kwa mashoga Dar, nini kifanyike?

    Jamii yetu yasasa nayo inachangia uwepo ongezeko lao. Ukiingia instagram utaelewa...
  5. DavidDaudiMollel

    Arusha: Kiwanja Kilichouzwa Kifisadi na Madiwani Wa CCM Charudi Mikononi Mwa Umma Chini ya CHADEMA

    Pongezi Madiwani wangu..pongezi Meya..Pongezi Nanyaro.. Najivunia utendaji wenu.
  6. DavidDaudiMollel

    Mbunge Lema apandishwa kizimbani, afunguliwa kesi 2 za jinai. Anyimwa dhamana

    Tutaupdate kadri ya tuonavyo kinachoendelea..chochote kikitokea tutapost...
  7. DavidDaudiMollel

    Mbunge Lema apandishwa kizimbani, afunguliwa kesi 2 za jinai. Anyimwa dhamana

    Mh GODBLESS J LEMA (MB) wa Jimbo la Arusha Mjini amefikishwa Mahakamani ( RM's COURT) leo Jumanne tarehe 8/11 majira ya sasa 2:10 asubuhi. Kesi yake inasimamiwa na jopo la Mawakili nguli wakiongozwa na John Mallya, Regold Nkya, Sheck Mfinanga, Charles Aidiel. 1.Mh Jaji MAGIMBI amemuamuru...
  8. DavidDaudiMollel

    Jinsi Ya Kuifanya simu yako isiwe slow.

    Nenda kwenye settings kisha about humo utaona mahali pakuupdate..
  9. DavidDaudiMollel

    Jinsi Ya Kuifanya simu yako isiwe slow.

    Bado kuna simu zingine bora zaidi zaidi ya tecno ambazo hazina majina lakn nibora upande wa matumizi.
  10. DavidDaudiMollel

    Jinsi Ya Kuifanya simu yako isiwe slow.

    Kuupdate kitu chochote cha mawasiliano iwe computer ama simu nimuhimu mana inafix all errors & bugs walizozigundua..
Back
Top Bottom