Msitutoe kwenye reli tuambieni je wahusika waliosaini mikataba ya madini na gesi watachukuliwa hatua gani au ni yale yale ya Makonda na wauza ngada, au lugumi, au faru John maana hakuna lolote wahusika wamefanywa
Sio siri unatia aibu mnafiki mkubwa wewe, ingekuwa unakemea dhuluma wanayofanyiwa wapinzani nchi hii ningekuona uko fear lkn hapa huna lolote zaidi ya uchimvi na uzindaki mnafiki wewe, kumbuka kuna viongozi wa dini hawako kumuogopa mtu bali kusimamia kweli hata kama inakuumiza
Huna jipya wewe maana tangu ujiingize kwenye siasa umechuja kinoma, in short nothing new, tafuteni shughuli nyingine za kufanya coz siasa za msimu na tamaa ya haraka bila kuangalia mbele imewaponza, njoo tupambane kwenye kilimo
Ifike mahali tuukubali ukweli japo una umiza, huyu Gwajima alikuwa kimya lkn watu wakaanza kumchokoza, sasa akijibu mnamuona mbaya acheni unafiki, mbona sijasikia hata siku moja mkikemea wanaomchokoza Gwajima au yeye hana moyo wa nyama kama wewe, acheni chuki za kijinga
Hivi nchi hii kuwa chadema ni dhambi, kuwa ccm ni sawa, acheni chuki za kijinga wanasheria wa nchi hii watajua ni jinsi gani sheria ilibakwa na wanaccm na ndio maana wamekubali kubadilika, waachie jukwaa lao we kaa pembeni cheki gemu, nyakati za ndio mzee zimekwisha
Jamaa naomba niulize ni vita ipi ya madawa unapambana nayo kama sio usanii maana wale waliyokuwa wanatuhumiwa kuuza wamegeuka watumiaji isitoshe mmethibitisha kweli wanatumia je ni nani anawauzia ili tujue kweli mko serious na vita hii, mimi najua mtumiaji hafungwi bali ataishia kulipa faini...
Hivi mamlaka zote tuzitii hata ya farao, nebukadreza na baali nazo tumeagizwa tutii, jaribu kufikiri mara mbili lengo hasa ni nini, maana kuna kila dalili ya kudhoofisha upinzani lkn upinzani hautadhoofika kwa wapinzani kukamatwa na kubambikiwa kesi ila maisha yakiboreshwa wapinzani ndio...
Mimi nafikiri hao waliotajwa ni dagaa tu mapapa na nyangumi hawagusiki hata inyeshe mvua ya mawe, maana huu wimbo haukuanza leo, but all in all bora kenda shika nenda kuliko kumi nenda rudi, hao hao dagaa watiwe adabu ili dagaa wengine wasithubutu
YOU CAN JAIL YOUR OPPONENTS BUT CAN'T JAIL IDEA Maneno kama haya huwa yanaishi maana hata kama Lema hayuko watazaliwa kina Lema wengi zaidi, maana ni mahakama ya mafisadi imeamia kwa wabunge wa upinzani, nilitegemea ahadi na mbwembwe za mahakama ya mafisadi hadi leo wezi wa escrow, Richmond...
Majini, mathematics, mapepo wote hao ni wa kuzimu hakuna jini mzuri wote mawakala wa kuzimu, pamoja na washirika wao na wale wanaotafuta, wanaooa, wanaoolewa na hao majini na pia wanaowatumainia majini wote hao ni jehanamu ya milele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.