david Reuben tarimo
Member
- Jan 2, 2017
- 17
- 10
Hakika sikumbuki mara ya mwisho niliangalia tbc lini na sidhani kama nitaangalia tena
Bora umejitetea hapo mwishoMkuu Post Truth, uko right, TBC ndio TV ya kwanza nchini Tanzania kutumia technolojia ya DV, (Digital Video), wakati TV nyingine zote zikitumia VHS. Japo TBC ilikuwa ikitumia DV Signal, ila transmiter yake ilikuwa Analog.
Baadae vituo vingine vikaingia kwenye DV kwa kununua TX za DV lakini TBC nayo ikanunua TX ya DV. Technology ikachange kwenda kwenye HDV, TV zote zikahamia kwenye HDV lakini TX ya TBC, ITV na Star TV bado ni DV, Clouds na EA TV ndio HDV. Azam TV ndio ameingia na Full HDV na TX yake ni Full HD
Kwa sasa technology ni 4K kwa kutumia UHDV, Bara la Afrika sisi bado, the Best signals za TV kwa Tanzania zinaongozwa na Full HD za DSTV channels za Super Sport, zikifuatia na Azam, ambayo ni HD, Clouds na Eatv ni HDV, ITV, TBC, Star TV na Channel Ten bado wanatumia DV tx.
Dogo Millard AYO anatumia Full HD!.
NB. Mimi ni Broadcast Journalist, taarifa hizi ni kwa mujibu wa reception yangu na sio specification toka vituo vyenyewe!.
Paskali.
Wachache watakuelewa hapaUkiwa na HD camera moja au mbili. Ukarekodi kipindi kisha uka upload kwenye mtandao kwa kiwango cha HD ni bei rahisi kuliko kufanya hivo hivo na kuamua kubroadcast
Andika vizuri kwanza uelewekeClouds hata wao ni chenga kuanzia kwenye audio hadi video naoma etv ya efm kawafunika
TBC pale ni sehemu ya watu kwenda kula kodi za wananchi hakuna jipya wanalofanya.
Wakitaka wasonge mbele wamrudishe Tido Mhando.
DuhTBC wana kipindi chao cha Ubongo Kids ndicho huwa nakiangalia na wajukuu zangu
Lakini sio jibu sahihi..kwa swali hiloTBC pale ni sehemu ya watu kwenda kula kodi za wananchi hakuna jipya wanalofanya.
Wakitaka wasonge mbele wamrudishe Tido Mhando.
Gharama za HD ni kiasi gani?Mkuu Post Truth, uko right, TBC ndio TV ya kwanza nchini Tanzania kutumia technolojia ya DV, (Digital Video), wakati TV nyingine zote zikitumia VHS. Japo TBC ilikuwa ikitumia DV Signal, ila transmiter yake ilikuwa Analog.
Baadae vituo vingine vikaingia kwenye DV kwa kununua TX za DV lakini TBC nayo ikanunua TX ya DV. Technology ikachange kwenda kwenye HDV, TV zote zikahamia kwenye HDV lakini TX ya TBC, ITV na Star TV bado ni DV, Clouds na EA TV ndio HDV. Azam TV ndio ameingia na Full HDV na TX yake ni Full HD
Kwa sasa technology ni 4K kwa kutumia UHDV, Bara la Afrika sisi bado, the Best signals za TV kwa Tanzania zinaongozwa na Full HD za DSTV channels za Super Sport, zikifuatia na Azam, ambayo ni HD, Clouds na Eatv ni HDV, ITV, TBC, Star TV na Channel Ten bado wanatumia DV tx.
Dogo Millard AYO anatumia Full HD!.
NB. Mimi ni Broadcast Journalist, taarifa hizi ni kwa mujibu wa reception yangu na sio specification toka vituo vyenyewe!.
Paskali.
Online televisionTruth ebu nieleweshe, naona kuna kitu kinaitwa Ayo Tv, hivi Millard Ayo ameanzisha tv, mbona sioni watu wakiitazma au kuitangaza? (mshamba)
Its Dam Expensive ku transmit Full HD, hata DSTV wenyewe, kati ya chaneli zao 150, Full HD ni 20 tuu tena hizo 20 zote zinaonekana South, lakini kwa Tanzania Full HD ziko 10 tuu tena kwa watu wa premium.
Hizo za AYO harushi hewani bali anatumia YouTube, hata mimi programs zangu ninazorusha TBC quality ni Full HD ila TBC hawarushi Full HD hivyo naziweka YouTube.
P.
Inaingia vipi akilini kuwa Television ya Taifa/TBC ambayo ina unlimited budget na resources za video zake zina kiza na mwingu lakini video zinazotolewa na huyu kijana Millard Ayo ambaye videos zake ni za Simu ya mkononi ni High Definition (HD) na ni ziko clear.
Mfano tazameni video ya TBC za bunge kwenye Youtube. Utadhani bado tuko kwenye miaka ya 1950's
Naomba waziri husika alifanyie kazi hili. Haya mambo ya sub standards na kuzugazuga hayana nafasi kwenye zama hizi
Tirdo naye ni wale wale hamna kituTBC pale ni sehemu ya watu kwenda kula kodi za wananchi hakuna jipya wanalofanya.
Wakitaka wasonge mbele wamrudishe Tido Mhando.
Mkuu Post Truth, uko right, TBC ndio TV ya kwanza nchini Tanzania kutumia technolojia ya DV, (Digital Video), wakati TV nyingine zote zikitumia VHS. Japo TBC ilikuwa ikitumia DV Signal, ila transmiter yake ilikuwa Analog.
Baadae vituo vingine vikaingia kwenye DV kwa kununua TX za DV lakini TBC nayo ikanunua TX ya DV. Technology ikachange kwenda kwenye HDV, TV zote zikahamia kwenye HDV lakini TX ya TBC, ITV na Star TV bado ni DV, Clouds na EA TV ndio HDV. Azam TV ndio ameingia na Full HDV na TX yake ni Full HD
Kwa sasa technology ni 4K kwa kutumia UHDV, Bara la Afrika sisi bado, the Best signals za TV kwa Tanzania zinaongozwa na Full HD za DSTV channels za Super Sport, zikifuatia na Azam, ambayo ni HD, Clouds na Eatv ni HDV, ITV, TBC, Star TV na Channel Ten bado wanatumia DV tx.
Dogo Millard AYO anatumia Full HD!.
NB. Mimi ni Broadcast Journalist, taarifa hizi ni kwa mujibu wa reception yangu na sio specification toka vituo vyenyewe!.
Paskali.
TBC wanatia aibu, kwa kipindi hiki cha ushindani wa vyombo vya habari wakajipange upya!yes production ni HDV lakini TX ni DV!.
Tanzania full HD ni Azam Pekee.
P.
VP tv 1Kwa mujibu wa king'amuzi changu ETV kwasasa inafunika wote
Nini hiki umeandikaTv unatumia chogo kuangalia TBC, ayo unatumia smartphone high resolution, what do you expect?, anyway TBC boresheni camera