Je, Nakumat Arusha nao wanafunga Biashara?

Je, Nakumat Arusha nao wanafunga Biashara?

We skuizi umeskia/umeona hata ile Jeuri ya Kufuturisha watu(mialiko: ?na 10 la kwanza lishakata
 
Kama wewe ni mteja wa NAKUMAT arusha ukienda kwa sasa kuna hali isiyo yakawaida, shelfu zinaanza kukauka, Nahisi jamaa wanamaliza Stock kwa sababu hata Huko Kwao wamefunga Branch kibao.
nimepit Nakumat ya Mlimani City .... siyo siri kuna kitu .... upo sahihi mkuu
 
Sasa baba Wa watu afanyeje? Kila kitu ni kulalamika arudishe ule wiz makazin? Ninashindwa kuwaelewa Bongos mishahara imesitishwa? Hatunaga chema ..
 
Kama wewe ni mteja wa NAKUMAT arusha ukienda kwa sasa kuna hali isiyo yakawaida, shelfu zinaanza kukauka, Nahisi jamaa wanamaliza Stock kwa sababu hata Huko Kwao wamefunga Branch kibao.
Mkuu Leo nimeingia pale kweupeee hakuna kitu . Sijui ndo wanafunga biashara .
 
Namba lazima zisomeke Kwa lugha zote ,cha msingi tuache uvivu tufanye kazi.
 
Hamkumsikiliza raisi wa bank ya dunia alivyomchana Magu pale uzinduzi wa mwendokasi? Uchumi unatakiwa ukue kwa wananchi na sio maandishi na maisha magumu
tunashukuru kwa rai yako muheshimiwa...na wachumi wetu akili hamna bwanah...tupa kule tu
 
Iko conferm Jamaa wanafunga vilago, too sad kwa wafanya kazi make onabidi wakatafute kazi kwingine
 
Nakumati haikuwa na mtaji, wamekodishia watu washelf. Haina bidhaa toka siku ya kwanza, Shoprite ukweli ilikuwa na bidhaa nyingi Sana na so cheap. Nakumat wanauza bidhaa zinazouzwa na maduka ya mitaani, halafu kwa bei ghali.
 
Kama wewe ni mteja wa NAKUMAT arusha ukienda kwa sasa kuna hali isiyo yakawaida, shelfu zinaanza kukauka, Nahisi jamaa wanamaliza Stock kwa sababu hata Huko Kwao wamefunga Branch kibao.
Mkuu yani juzi nimeingia nakumatt ya hapa dar es salaam maeneo ya kamata nikaona kitu hicho hicho. Yani shelves ni nyeupeee.....sijui hii ni UCHUMI part 2.
 
Hum kuna watu na ujinga wao kila jambo kulialia tu iwe jua watalia iwe mvua watalia ndio kazi yenu
 
!
!
Don't go no where we will be right back after a short commercial break. Bado ngoma ndio inaanza
 
Back
Top Bottom