Recent content by DAVID MWAKIPOSA

  1. D

    Rais Kikwete ajiondoa Twitter

    Kwan alipojiunga ulimshauri wewe. tupunguze kuhoji hata vitu vya kipuuzi.
  2. D

    Dar mnatuangusha sana wana UKAWA

    usipotoshe watu kata ya mabibo ina mitaa 6 sio minne. Nakhs matokeo kaulizie vzr takwim sio hizo
  3. D

    Ripoti ya PAC yaibwa Bungeni mpaka ya CAG iliyoko Dar!

    Upumbavu mtupu. huna evidence wala facts zozote unatuletea porojo za walevi. peleka kwenye blog za udaku hayo. humu lete vity concrere vinavyoeleweka.
  4. D

    Sitta: Mnyika niheshimu kama mzee na mzazi wako, Je Warioba sio mzee na mzazi?

    Tatizo kila kitu hapa JF mnapeleka kishabiki. makonda si kijana wa kupuuzwa. uwezo wake wa kujenga hoja na kuisimamia si wa mchezo. kama mnyika anahitajika ubungo makonda si mtu sahihi kumsimamisha. mchuano wao utakuwa mkali na lolote laweza tokea kwa yeyote. wote ni vijana, wote ni wana...
  5. D

    Ufisadi wa bilion 450: Dili ya Treni mpya Airport kwenda Mjini

    Nakushauri upitie mchakato mzma before hujachangia kwani pengne yote uyasemayo yamezingatiwa.
  6. D

    Nyerere alijisaliti na kuwasaliti watanzania

    Waliopo hatuwataki na tunaowataka hatuwaamin-Mrisho Mpoto. uchunguzi wa twaweza unaonyesha kuwa 70% wa watz hawaamin km upinzan uliopo ukiingia madarakan utaondoa rushwa...! msimlaum Nyerere na kutukana Watz. had sasa hakuna upinzani wa kweli ulionekana. na vuongozi wa upande opposition...
  7. D

    Sitta afanya maajabu ya karne

    usiongee kitu km huna uhakika. sijaona fact wala evidence yoyote zaidi ya hisia zako binafsi. tusikubali kuendesha Taifa kwa hisia na majungu
  8. D

    Maamuzi ya Mahakama kuhusu Bunge la Katiba

    Nlidhan majukwaa haya yametawaliwa na watu wenye kasoro ktk kuelewa mambo pekee kumbe mpo wachche mnaeza kuelewa. wasaidie wengne kuweka hukumu yoote maana seems wanategemea itv itanangaze wakt hukumu iko cheaply available kubenea ama kibatala wote wanaeza kuiweka hapa kitahisi tu. bora kukaa...
  9. D

    Nimesikitika sana kuwa kumbe ukawa walichezewa karata tatu.

    Sijaelewa thread yako exactly ulilenga nini
  10. D

    Ukweli mchungu: Kauli walizowahi kusema viongozi kuhusu kuomba misaada

    Tupe Sorce. mana sku hizi za kuelekea 2015 wataman madaraka wanakesha hata ikibidi kuua ama kuchafua yeyote ili tu kujisafishia njia yao.
  11. D

    Ratiba ya maandamano kesho jimbo la Hai

    sidhani kama Mh Mwenyekiti Mbowe ataruhsu jambo hilp litokee.
  12. D

    Prof. Mark Mwandosya Amlipua Apson Mwang'onda Bungeni

    Busara ni pale mtu mjinga anapokosa cha kuandika huamua kukaa kimya. inabaki siri yake. kuliko ukatumia muda wako kukashifu michango yenye tija kwa Taifa
  13. D

    Katiba ya BAVICHA yatambua rasmi CHASO na CHADEMA toto kuwa sehemu ya BAVICHA

    nawezaje kupata nakala ya katiba ya bavicha!???
  14. D

    Kikwete: Urais wangu hauna ubia

    sio 2010 ni baada ya 2005 alikuwa anawapasha waliojifanya wao ndio waamuz wa nn kifanyike badala ya yy
  15. D

    BAVICHA anatakiwa kichwa ngumu

    Kukubali kwamba hujui jambo si ujinga. unatoa mwanya wa kufafanuliwa. hakuna anayejua kila jambo duniani. inawezekana sio kuwa hamjui taratibu za kufuata had chama kinazaliwa. chama makin hakipaswi kuanzishwa juu ya focus ya ku deal na CCM. Chama cha watu makin huandaa dira (vision), hutengeneza...
Back
Top Bottom