Account ya Mh. Rais ambayo ilikuwa na followers zaidi ya 159,254, sasa hivi ukijaribu kumtafuta inaonyesha kuwa imefungwa.
Rais Kikwete alikuwa among Africa's Digital Presidents, Kwenye hii link inaonyesha kuwa alikuwa top ten ya African presidents on twitter: Top 10 Most Followed African Presidents on Twitter - Sahan Journal . Bado hatujajua nini imepelekea akajitoa, ukizingatia kuwa sasa kila kiongozi anajaribu kuwa Digital.
Atakuwa amepewa ushauri mbaya;
Laiti angelijuwa kuwa kupitia hapo angefahamu mengi yanayomzunguka.
Hivi hata hili ni la kuhoji eti mtu kaondoa akaunti yake ya twitter? ushambenga huu.
Ni mwanzo wa kuanza kujificha kutokana na kuboronga kwingi. Hivi ana kipi cha kuliachia taifa?
Nyerere tunamwita Baba wa taifa huyu tutamwita jina gani?
Atakuwa kajiunga badoo yaani full ku like mabebez
Atakuwa amepewa ushauri mbaya;
Laiti angelijuwa kuwa kupitia hapo angefahamu mengi yanayomzunguka.
Account ya Mh. Rais ambayo ilikuwa na followers zaidi ya 159,254, sasa hivi ukijaribu kumtafuta inaonyesha kuwa imefungwa.
Rais Kikwete alikuwa among Africa's Digital Presidents, Kwenye hii link inaonyesha kuwa alikuwa top ten ya African presidents on twitter: Top 10 Most Followed African Presidents on Twitter - Sahan Journal . Bado hatujajua nini imepelekea akajitoa, ukizingatia kuwa sasa kila kiongozi anajaribu kuwa Digital.
anakimbia aibu ya kushindindwa kumwajibisha muhongo,,, chezea escrow wewe!!
Hurrah Kikwete.Sijui kwa nini tumekuwa so brainwashed kiasi cha kutokujua jema na baya.It's naive kudhani kwamba kuwa digital ndiyo kuwa wa kisasa.After all what does it mean kuwa wa kisasa.Kama wewe ni wa kisasa au sio si wanadamu ndio wanao amua.Leo watasema lile kesho watasema lingine.I do not want to be judged by humans,kwa kuwa kila wazo wanalowaza ni ovu tu.I want to be judged by the God of Jacob,not by humans.Kwanza Social media zote belong to the Devil.Najua utabisha because you have been brainwashed and you don't want to know the truth.Nakupa pole.