salimkabora
JF-Expert Member
- Nov 10, 2012
- 2,441
- 653
Ukikaa nyuma ya meza ya mfalme harufu ya jipilau hutaikosa na pia vijifupa vya miguu ya kuku anavyotupa chini mfalme wanaviokota; Dar ni sehemu ya ufisadi uliokomaa nchini na wapo tayari kuulinda kwa kutojaliNilishasema humu wakazi wengi wa Dar ni waswahili (hawajaelimika, wavivu, wacheza vigodoro) wakifuatiwa na wezi wa maofisini (wanaogopa ukiwa kinyume na CCM unapelekwa Namanyere), malaya/mashangingi, mateja/wapiga debe, wapambe na wafanyabiashara wakwepa kodi (pinga CCM ukione) so kumuondoa huyu mdudu CCM kazi ipo!