Nyerere alijisaliti na kuwasaliti watanzania

Tanzania sio nchi inayowajibika,fikiria kila mjumbe alikuwa anapewa laki 3 lakini wananchi wake kibao maskini,wajinga maana hawana elimu na uwezo wao ni mdogo sana,hawana nyumba maana nyumba zao kama za kujificha,hawapati habari.....yaani tanzania ni shida sana,Acha mjini hapa.HALI NI MBAYA.


Waliopo hatuwataki na tunaowataka hatuwaamin-Mrisho Mpoto.

uchunguzi wa twaweza unaonyesha kuwa 70% wa watz hawaamin km upinzan uliopo ukiingia madarakan utaondoa rushwa...!

msimlaum Nyerere na kutukana Watz. had sasa hakuna upinzani wa kweli ulionekana. na vuongozi wa upande opposition wengi ni maslahi. wanahubiri wasichokiamin. maish wanayoishi hayafanan na wanaowaongoza. Nchini Urusu V.I Lenin aliaminika haraka kwa sababu maneno na matendo yake viliakisi dhamira ya dhati ya kuwakomboa warusi. halikadhalika nyerere, nkurumah, castro nk. kati ya Mbowe, Lipumba, lisu, dr slaa kuna dalili ya dhati ya mapinduzi hapo? watu wanakufa njaa kiongozi anabadlisha wanawake mataifa ya ulaya. ktk Tafa ambalo maadili yameporomoka kuanzia ngazi ya familia ni busara kiongozi aonyeshe ukomavu wa kusimamia maadli kuanzia ngazo ya familia, ndani ya chama na kitaifa. Ukombozi wa maisha ya watz kuanzia level of individual na kujenga taifa imara sawa na raslimali zilizopo utapatikana pale tu viongozi shupavu, waadilifu, na wanamapinduzi ya kweli watakapoinuliwa. sio vichaka vya wezi a wasanii waliotapakaa barabarani
 
Ni mawazo yako. Ila lazima utakuwa umejaza mayai viza kichwani mwako to the brim na yameanza kuvuja sasa kupitia masikioni na puani bila kusahau machoni. Amani, amani, amani, amani. Watu wako tayari kusacrifice chochote kwa ajili ya amani wee waongea upusssy. Amani iliyopo Tanzania ndo yakupa jeuri ya kusema tumekaririshwa. Haujakaa kwenye nchi ambayo haina amani au kuwaona laivu wakimbizi wanaotafuta amani. Ndugu, ebu fikiri mara mbili mbili. Najua maisha magumu ila usianze mambo ya kupiga ramli kusaka mchawi. TZ Ni amani, amani, amani kwanza. Amani ndo yaweka msingi wa kujenga mazuri yoooooote. R.I.P J.K Nyerere.

Hatuwezi kusema amani wakati nchi imeshikiliwa na majambazi!

Ni bora vita inayotafuta haki na usawa kuliko amani inayopumbaza-Godless Lema
 
Inawezekana ni kweli yeye ndie katufikisha hapa. Sasa tufanyeje? Tuendelee kulialia tu kwamba Nyerere katufikisha hapa wakati tuna uwezo wa kutoka hapa tulipofikishwa? Kama umo ndani ya shimo na aliyekutumbikiza unamjua haisaidii na wala huwezi kutoka humo kwa kumlalamikia uliyekutumbiza. Na hata kama aliyekutumbukiza humo shimoni ndiye anatakiwa aje kukutoa bahati mbaya ameshakufa. Sasa una uamuzi kubaki ufie humo au utoke kwa jitihada zako mwenyewe?

Tatizo la watz tunadhani kuna mtu mahali fulani anayepaswa kuja kutupigani haki na usawa tunaodai... HUKUNA...NI SISI WENYEWE na wasaliti lazima tu- deal nao accordingly. Kulialia hakutusaidii!!!
 
Mkuu wewe sio mkristo maana wakristo hawajiiti "Wakiristo" ila ni wale wa "mama mdogo!"

Mmezoea kila anaempinga nyerere basi ni muislamu.

Haya hyo sasa ni mkristo mwenzenu anampinga nyerere.

Indeed nyerere was a disgrace to this nation.

Bora tu kajifia zake.
 
Pamoja na mazuri aliyoyafanya Nyerere kwa nchi hii,lakini ni yeye pia alieweka msingi mbaya sana kwa watanzania kuhsu neno "amani" na mfumo wa vyama vingi.

Watanzania wamekaririshwa neno amani pasipo kuambiwa ukweli kuwa amani ni matokeo ya kuwepo kwa hali ya haki na usawa na kamwe si vinginevyo.

Watanzania wamekariri kuwa kukosekana kwa haki na usawa si tatizo bali kukosekana kwa amani ndio tatizo.Kwa maneno mengine,mtanzania ameridhika kunyimwa haki na usawa mradi tu amani iwepo.

Watanzania wengi,tofauti na watu wa mataifa mengine,wanashindwa kutambua kuwa wanapaswa kupigania haki na usawa na katika harakati hizo halali, amani inaweza kutoweka kwani watala watatumia hata mabavu kuzima madai yao na wa kulaumiwa si mwanaharakati(wapinzani n.k) bali ni mtawala.

Ni bahati mbaya sana watanzania wanaamini adui yao ni yule anaeongoza harakati za kudai haki na usawa na mtu mwema kwao siku zote ni yule anaimba amani majukwaani huku akitenda kinyume.

Hii ndio Tanzania aliotuachia Nyerere ikiwa ni matokeo ya kuishi katika mfumo wa chama kimoja kwa miaka mingi pasipo sauti za wapinzania(wanaharakati) wanaopigania haki na usawa.

Hali hii ndio leo inawafanya watanzania wengi waone anaeitisha maandamano ya kudai haki na usawa ni mtu wa fujo na anaezima maandamano kwa kutumia nguvu za dola, ndio mwenye kulinda amani!

Suluhisho la hali hii si elimu ya uraia wala nini(chunguza hata wasomii wa nchi hii),bali ni pale kizazi cha miaka ya 60,70 na 80 kitakapotoweka katika uso wa nchi hii kwasababu hata wakizeeka bado haisaidii kwani nao wana haki ya kupiga kura.

Nyerere hivi ndio ulivyotulea watanzania na mtoto umleavyo ndivyo akuwavyo.

Hujakumbana na Makada wa CCM , ukapewa laki 3 kwa siku, vikoi , pilau , bia na changu doa , ungalimsifu Nyerere hadi kufa au kulia kama Sheikh Jongo katika kumsifu Nyerere. Sorry Charlie bahati haijakuangukia

Mwulize Professor Mkandara na utabiri wake wa uchaguzi , tehtehtehteeeee
 
Hujakumbana na Makada wa CCM , ukapewa laki 3 kwa siku, vikoi , pilau , bia na changu doa , ungalimsifu Nyerere hadi kufa au kulia kama Sheikh Jongo katika kumsifu Nyerere. Sorry Charlie bahati haijakuangukia

Mwulize Professor Mkandara na utabiri wake wa uchaguzi , tehtehtehteeeee

Si kila mtu ni kilaza na mchumia tumbo kama nyinyi.Mfano mzuri ni mwanasheria wa Zanzibar na UKWAWA waliokataa kuwasaliti watu kwa hongo ya sh 300,000 kwa siku ila yale maharamia mengine kwa posho ndio kila kitu.Wanafiki, wazandiki na mafisadi ndio wa kutuandukia katiba?!Hiyo katiba inayopendekezwa imeshanajisiwa na watu wasio wasafi.
 
Hujakumbana na Makada wa CCM , ukapewa laki 3 kwa siku, vikoi , pilau , bia na changu doa , ungalimsifu Nyerere hadi kufa au kulia kama Sheikh Jongo katika kumsifu Nyerere. Sorry Charlie bahati haijakuangukia

Mwulize Professor Mkandara na utabiri wake wa uchaguzi , tehtehtehteeeee

Si kila mtu ni kilaza na mchumia tumbo kama nyinyi.Mfano mzuri ni mwanasheria wa Zanzibar na UKAWA waliokataa kuwasaliti watu kwa hongo ya sh 300,000 kwa siku ila yale maharamia mengine kwa posho ndio kila kitu.Wanafiki, wazandiki na mafisadi ndio wa kutuandukia katiba?!Hiyo katiba inayopendekezwa imeshanajisiwa na watu wasio wasafi.
 
Pamoja na mazuri aliyoyafanya Nyerere kwa nchi hii,lakini ni yeye pia alieweka msingi mbaya sana kwa watanzania kuhsu neno "amani" na mfumo wa vyama vingi.

Watanzania wamekaririshwa neno amani pasipo kuambiwa ukweli kuwa amani ni matokeo ya kuwepo kwa hali ya haki na usawa na kamwe si vinginevyo.

Watanzania wamekariri kuwa kukosekana kwa haki na usawa si tatizo bali kukosekana kwa amani ndio tatizo.Kwa maneno mengine,mtanzania ameridhika kunyimwa haki na usawa mradi tu amani iwepo.

Watanzania wengi,tofauti na watu wa mataifa mengine,wanashindwa kutambua kuwa wanapaswa kupigania haki na usawa na katika harakati hizo halali, amani inaweza kutoweka kwani watala watatumia hata mabavu kuzima madai yao na wa kulaumiwa si mwanaharakati(wapinzani n.k) bali ni mtawala.

Ni bahati mbaya sana watanzania wanaamini adui yao ni yule anaeongoza harakati za kudai haki na usawa na mtu mwema kwao siku zote ni yule anaimba amani majukwaani huku akitenda kinyume.

Hii ndio Tanzania aliotuachia Nyerere ikiwa ni matokeo ya kuishi katika mfumo wa chama kimoja kwa miaka mingi pasipo sauti za wapinzania(wanaharakati) wanaopigania haki na usawa.

Hali hii ndio leo inawafanya watanzania wengi waone anaeitisha maandamano ya kudai haki na usawa ni mtu wa fujo na anaezima maandamano kwa kutumia nguvu za dola, ndio mwenye kulinda amani!

Suluhisho la hali hii si elimu ya uraia wala nini(chunguza hata wasomii wa nchi hii),bali ni pale kizazi cha miaka ya 60,70 na 80 kitakapotoweka katika uso wa nchi hii kwasababu hata wakizeeka bado haisaidii kwani nao wana haki ya kupiga kura.

Nyerere hivi ndio ulivyotulea watanzania na mtoto umleavyo ndivyo akuwavyo.

Malizia kabisa kwamba ndiye pia MUASISI wa WIZI WA KURA. Kumbuka alichofanya Zanzizar 1995 baada ya Komandoo Salmini Amour kuwa ameshindwa uchaguzi na Maalim Seif Hamad.

Tusiwe na akili kama za samaki, na pia UKWELI lazima usemwe.
 
mimi nadhan huwezi mlaumu nyerere kwa sababu, ijulikane kuwa urais sio mtu ni mfumo tu, huwa nashindwa kuelewa mtu kumlaumu nyerere karibia miaka 30 toka aachie ngazi, kuna wengine wanadiriki kusema hata umaskini wetu ni kwa sababu yake. tunasahau pia ndani ya kipind chake ndo tanzania iliweza kuwa na viwada vingi sana kuliko kipindi chote. yeye alimaliza uongozi wake tena akiwa ametuachia asset za kufa mtu tena tushukuru ile kumzuia huyu sharobaro kugombea nadhan tungekuwa tunatembelea maguta sasa hivi. hizi hoja za failure za mwalimu huwa nazikuta hasa kwenye mijadala ya waislamu. aliyeharib nchi hiii ni mwinyi pamoja na kuwa waislamu wenzangu hatutaki kuisikia. kosa la mwalimu liko kwenye muungano tuuu ila mengine alikuwa sawa. hatuwezi laumu kukosa kazi eti ni kosa ni mwalimu tunasahau kuwa mwinyi aliruhusu unfair competition, viwanda vikafa, elimu imeuwawa na viongozi wenu sio nyerere, mpaka mwalimu anaondoka watu walikuwa wanaenda depo kabla ya kazi watu hawakuwa waoga kivile. tuacheni udini na tuache kumlaumu mtu ambaye ameacha madaraka miaka 30 iliyopita

Mkuu, umegusa penyewe. Pamoja na kuweka amani, Nyerere ktk Uongozi wake hatukusikia ujinga wa Rushwa, Udini, Ufisadi n.k ila kipindi hiki kila Mtanzania ni shahidi.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Pamoja na mazuri aliyoyafanya Nyerere kwa nchi hii,lakini ni yeye pia alieweka msingi mbaya sana kwa watanzania kuhsu neno "amani" na mfumo wa vyama vingi.

Watanzania wamekaririshwa neno amani pasipo kuambiwa ukweli kuwa amani ni matokeo ya kuwepo kwa hali ya haki na usawa na kamwe si vinginevyo.

Watanzania wamekariri kuwa kukosekana kwa haki na usawa si tatizo bali kukosekana kwa amani ndio tatizo.Kwa maneno mengine,mtanzania ameridhika kunyimwa haki na usawa mradi tu amani iwepo.

Watanzania wengi,tofauti na watu wa mataifa mengine,wanashindwa kutambua kuwa wanapaswa kupigania haki na usawa na katika harakati hizo halali, amani inaweza kutoweka kwani watala watatumia hata mabavu kuzima madai yao na wa kulaumiwa si mwanaharakati(wapinzani n.k) bali ni mtawala.

Ni bahati mbaya sana watanzania wanaamini adui yao ni yule anaeongoza harakati za kudai haki na usawa na mtu mwema kwao siku zote ni yule anaimba amani majukwaani huku akitenda kinyume.

Hii ndio Tanzania aliotuachia Nyerere ikiwa ni matokeo ya kuishi katika mfumo wa chama kimoja kwa miaka mingi pasipo sauti za wapinzania(wanaharakati) wanaopigania haki na usawa.

Hali hii ndio leo inawafanya watanzania wengi waone anaeitisha maandamano ya kudai haki na usawa ni mtu wa fujo na anaezima maandamano kwa kutumia nguvu za dola, ndio mwenye kulinda amani!

Suluhisho la hali hii si elimu ya uraia wala nini(chunguza hata wasomii wa nchi hii),bali ni pale kizazi cha miaka ya 60,70 na 80 kitakapotoweka katika uso wa nchi hii kwasababu hata wakizeeka bado haisaidii kwani nao wana haki ya kupiga kura.

Nyerere hivi ndio ulivyotulea watanzania na mtoto umleavyo ndivyo akuwavyo.
pumbaaa tupu
 
Ni mawazo yako. Ila lazima utakuwa umejaza mayai viza kichwani mwako to the brim na yameanza kuvuja sasa kupitia masikioni na puani bila kusahau machoni. Amani, amani, amani, amani. Watu wako tayari kusacrifice chochote kwa ajili ya amani wee waongea upusssy. Amani iliyopo Tanzania ndo yakupa jeuri ya kusema tumekaririshwa. Haujakaa kwenye nchi ambayo haina amani au kuwaona laivu wakimbizi wanaotafuta amani. Ndugu, ebu fikiri mara mbili mbili. Najua maisha magumu ila usianze mambo ya kupiga ramli kusaka mchawi. TZ Ni amani, amani, amani kwanza. Amani ndo yaweka msingi wa kujenga mazuri yoooooote. R.I.P J.K Nyerere.

wacha uPAMBAVU amani iko wapi kwenye NCH hii,,,??
 
Waliopo hatuwataki na tunaowataka hatuwaamin-Mrisho Mpoto.

uchunguzi wa twaweza unaonyesha kuwa 70% wa watz hawaamin km upinzan uliopo ukiingia madarakan utaondoa rushwa...!

msimlaum Nyerere na kutukana Watz. had sasa hakuna upinzani wa kweli ulionekana. na vuongozi wa upande opposition wengi ni maslahi. wanahubiri wasichokiamin. maish wanayoishi hayafanan na wanaowaongoza. Nchini Urusu V.I Lenin aliaminika haraka kwa sababu maneno na matendo yake viliakisi dhamira ya dhati ya kuwakomboa warusi. halikadhalika nyerere, nkurumah, castro nk. kati ya Mbowe, Lipumba, lisu, dr slaa kuna dalili ya dhati ya mapinduzi hapo? watu wanakufa njaa kiongozi anabadlisha wanawake mataifa ya ulaya. ktk Tafa ambalo maadili yameporomoka kuanzia ngazi ya familia ni busara kiongozi aonyeshe ukomavu wa kusimamia maadli kuanzia ngazo ya familia, ndani ya chama na kitaifa. Ukombozi wa maisha ya watz kuanzia level of individual na kujenga taifa imara sawa na raslimali zilizopo utapatikana pale tu viongozi shupavu, waadilifu, na wanamapinduzi ya kweli watakapoinuliwa. sio vichaka vya wezi a wasanii waliotapakaa barabarani

Umeelewa ulichoandika hapo,,!!
 
Tunajitambua ila vipaumbele vyetu ndivyo viko tenge, tunaishi leo tu hata watoto hatuwafikirii. Walioko makazini wanaibaiba tu wakistaafu wanaanza kulaumu kile ambacho wangetengeza. Hapa usishangae polisi anayewapiga masikini wenzie wanaouza vitu barabarani akifukuzwa kazi anafungua kibanda bila hata kukata leseni.
 
Mkuu, umegusa penyewe. Pamoja na kuweka amani, Nyerere ktk Uongozi wake hatukusikia ujinga wa Rushwa, Udini, Ufisadi n.k ila kipindi hiki kila Mtanzania ni shahidi.

unajua kuna vitu watu tunadanganyana sana tena ukiangalia the real mastermind wa hii michezo ndo wale mafisadi ya kutupwa. kwenye hoja ya muungano tu ndo ntakuwa kinyume na mwalimu ila vingine vyote ntamsapoti. mimi nadhan tusiandikie mate tuorodheshe asset alizotuachia mwalimu, tuorodheshe alizotuachia mwinyi hapa. tuorodheshe den alilotuachia mwalimu tuje la mwinyi. kipindi cha mwalimu watu walipelekwa jkt, je n nan alifuta mafunzo. je kwenye mafunzo hatufundishwa uzalendo? nani alifuta uzalendo? kipindi cha nyum ulikuwa ukitoka nje ya nchi ukifika sehem kama johanesburg, unajisikia raha kuwa mtz kwa jinsi unavopokewwa, je leo ule ukarimu upo tena, utasikia mijitu humu eti mwalimu ndo kasababisha yote. kama mnataka tuseme ukweli ni. WAISLAMU ACHEN UDINI SIO KWA SABAB MWALIMU MKRISTO NDO IWE SABAB YA KUKOSA UZALENDO. ANGALIEN MFANO WA MARAISI WENU WAMETULETEA NINI. ifike mahali tuorodheshe na makosa ya mwinyi hapa. mwinyi kauza nchi kwa waraab kikwete kamalizia kwa kuua reli zote ili mwanae afanye biashara. kama rais anaweza hongwa suti na zaidi yule alituachia viwanda na mashirika ya ndege au huyu ambae kila mwezi anataka kuishi marekani
 
brainwashed tayar eeeeh! kila tatizo nyerere je ww umelifanyia lipi jema tanzania yako?
 
Back
Top Bottom