Ratiba ya maandamano kesho jimbo la Hai

Ratiba ya maandamano kesho jimbo la Hai

Sandeni

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2013
Posts
666
Reaction score
298
Kwa niaba ya Mwenezi CHADEMA Jimbo la Hai.

Jimbo la Mwenyekiti wa Chama Tunatangaza ratiba ya Maandamano Kesho 20/09/2014.

Maandamano yataanzia Pale CCM(kabla ya kwa wasomali) saa 2 kamili asubuhi.

Kundi jingine Litaanzia Stand Mpya Tuaanza kujipanga pale check point na Kuelekea makao makuu ya chama wilaya.

Kujiunga na kundi litakaloanzia Kule Kambi ya raha..

Wananchi wote wa Hai wenye Mapenzi ya kweli na nchi yao. Muda ndiyo huu wakuuonyesha Ulimwengu ni yepi yanayoendelea nchini kwetu.

Wakati ndiyo huu.
 
Kwa niaba ya Mwenezi Chadema Jimbo la Hai.
Jimbo la Mwenyekiti wa Chama Tunatangaza ratiba ya Maandamano Kesho 20/09/2014.

Maandamano yataanzia Pale CCM(kabla ya kwa wasomali) saa 2 kamili asubuhi.
Kundi jingine Litaanzia Stand Mpya Tuaanza kujipanga pale check point na Kuelekea makao makuu ya chama wilaya,

Kujiunga na kundi litakaloanzia Kule Kambi ya raha..

Wananchi wote wa Hai wenye Mapenzi ya kweli na nchi yao. Muda ndiyo huu wakuuonyesha Ulimwengu ni yepi yanayoendelea nchini kwetu.

Wakati ndiyo huu..


sidhani kama Mh Mwenyekiti Mbowe ataruhsu jambo hilp litokee.
 
polisi kazi mnayo mtahangaishwa mpaka mkome maana wanadhani sifa kutimiza matakwa haramu ya ccm
 
sisi wa Mungushi na Bomani tuje na wapi au huku mmetusau....?

Nyie route yenu mtakutana junction ya hospital ya wilaya kuja moja kwa moja hadi Snow Crest kuchukua majii kabisa.
 
Polisi na mbwa zao 5 tuone watakavyokabili hizo route....maghamba sijui nani amewalonga mpaka waone polisi ndo suluisho.
 
sisi tunaoishi wilaya ya siha tunasubiri ratiba au tutaungana na hawa wa wilaya ya hai ,nipeni jibu ili nijue nitaanza wapi kwa maana huku ndo ccm imejikita ,lazima kieleweke ,
 
maandamano kama kawaida kwani hawa polisi na ccm yao watashindwa tu naamini slo zao haziwezi kujaa watanzania wote wanaoingua chadema
 
Back
Top Bottom