Kwa niaba ya Mwenezi CHADEMA Jimbo la Hai.
Jimbo la Mwenyekiti wa Chama Tunatangaza ratiba ya Maandamano Kesho 20/09/2014.
Maandamano yataanzia Pale CCM(kabla ya kwa wasomali) saa 2 kamili asubuhi.
Kundi jingine Litaanzia Stand Mpya Tuaanza kujipanga pale check point na Kuelekea makao makuu ya chama wilaya.
Kujiunga na kundi litakaloanzia Kule Kambi ya raha..
Wananchi wote wa Hai wenye Mapenzi ya kweli na nchi yao. Muda ndiyo huu wakuuonyesha Ulimwengu ni yepi yanayoendelea nchini kwetu.
Wakati ndiyo huu.
Jimbo la Mwenyekiti wa Chama Tunatangaza ratiba ya Maandamano Kesho 20/09/2014.
Maandamano yataanzia Pale CCM(kabla ya kwa wasomali) saa 2 kamili asubuhi.
Kundi jingine Litaanzia Stand Mpya Tuaanza kujipanga pale check point na Kuelekea makao makuu ya chama wilaya.
Kujiunga na kundi litakaloanzia Kule Kambi ya raha..
Wananchi wote wa Hai wenye Mapenzi ya kweli na nchi yao. Muda ndiyo huu wakuuonyesha Ulimwengu ni yepi yanayoendelea nchini kwetu.
Wakati ndiyo huu.