Recent content by David Mgeni

  1. David Mgeni

    Kama utani nimenasa kwa Mama mtu mzima

    Mwanangu tuwe tunaenda site wote unifundishe kazi
  2. David Mgeni

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    naomba nipm tafadhali
  3. David Mgeni

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Wakuu kama kuna mtu anafanya kazi tra bagamoyo anicheck tafadhali
  4. David Mgeni

    Naomba kupata connection ya mtu anayefanya kazi TRA Bagamoyo

    Najua hili ni jukwaa kubwa linakutanisha watu wengi naomba kupata connection ya mtu anaefanya kazi TRA Bagamoyo naomba anipm tafadhali.
  5. David Mgeni

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Madereva wanaoenda mbeya tupeane konnection
  6. David Mgeni

    Mada Maalum ya Madereva: Changamoto, Uzoefu, Vituko na Connections

    Dereva anaeenda mbeya leo toka dar anipe lift
  7. David Mgeni

    Nahitaji msaada wenu

    Gharama je
  8. David Mgeni

    Nahitaji msaada wenu

    Samahani ndugu zangu nina ndugu yangu ana ujauzito ila anatokwa damu ukeni je naweza kupata msaada wenu NB:yuko vibaya kiuchumi
  9. David Mgeni

    Thamani ya fedha hizi

    Salama wakuu samahani wakuu naomba kuuliza anaejua thamani ya fedha hizi ambazo ni fifty dirham na 5 us dollar zote za zamani
Back
Top Bottom