David Mgeni
Senior Member
- Aug 4, 2020
- 103
- 137
Najua hili ni jukwaa kubwa linakutanisha watu wengi naomba kupata connection ya mtu anaefanya kazi TRA Bagamoyo naomba anipm tafadhali.
Ndg David unadhani ni rahisi kupata connection hivi? Nakushauri labda kama unashida kiofisi wapigie 0800780078 au 0800750075 na ingine wanatangazaga ni 0800110016 wanaweza kukusaidiaNajua hili ni jukwaa kubwa linakutanisha watu wengi naomba kupata connection ya mtu anaefanya kazi TRA Bagamoyo naomba anipm tafadhali.