Recent content by David Mathias

  1. D

    NEMC wamethubutu kuanza kudhibiti kelele, wasivunjwe moyo na Mamlaka zingine za serikali zenye viongozi wasiotumia busara

    Inabidi uangalie upande mwingine wa shillingi kuna ajira za watu zinakosekana pamoja na kudumaza mzunguko wa hela kwenye jamii
  2. D

    Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

    Wazo lako la kwanza ni zuri ongeza na nguruwe a.k.a kitimoto utanufaika sana kwani soko lao ni kubwa sana
  3. D

    Jinsi ya kuandaa mpango wa biashara (Business Plan)

    Kwa maoni yangu ili ufanikiwe kibiashara lazima/muhimu eneo unalofanya biashara ulimiliki mwenyewe ili kuondoa/kupunguza gharama zisizokua za lazima
  4. D

    Kwa nini Biashara za ki Familia kwa waTanzania zinafeli.

    Kweli tuna safari ndefu na ukiangalia waafrika na watu wengine waliofanikiwa wana fikra tofauti sana na kingine waafrika wengi ni wavivu wa kufanya kazi na kujituma.
  5. D

    Kwa nini Biashara za ki Familia kwa waTanzania zinafeli.

    Kinacho tutesa sisi waafrika ni fikra zetu ni za kiwango cha chini sana tofauti na wenzetu
  6. D

    Utamu wa mkopo umetumiaje

    Nakushauri tafuta kianzio kwanza mfano m6, halafu m6 nyingine ndio uchukue mkopo.
  7. D

    Biashara ya Bodaboda

    hio hela ni bora ukapata bajaji used na kuanza biashara
  8. D

    IFFHS yatoa timu 10 bora za CAF, Simba ya 9

    umeisahau Petro Luanda
  9. D

    IFFHS yatoa timu 10 bora za CAF, Simba ya 9

    kwa hio list timu ya simba imepanda au imeshuka?
  10. D

    Mechi ya marudiano na Raja AC inaninyima usingizi

    timu ambayo ipo ni level za mtibwa na sio Mamelod
  11. D

    Safari za Kikwete zazaa matunda...

    tembelea UMOJA BLOG
  12. D

    CCM Hiki cheo vipi mmekifuta au Bado kipo?

    hiko cheo kipo na kimeboreshwa zaidi ndicho anachoshilia Nnape Nnauye
  13. D

    cameras to wait for Mandela’s death

    watu hawana utu kabisa wanangojea mtu afe wajue kuwa Mungu pekee ndio anaamua nani afe nani awe hai.
Back
Top Bottom