Huu ni mwendelezo tu,mchezo ulianza pale walipolitoa fao la kujitoa mpaka usitaafu,kwahiyo tusubiri tuone kama michango yetu ya awali haitasoma watwambie iko wapi,kama tunaanza upya hela yetu tuchukue.
Inakuwaje mmeweweka ukomo wa sh.elfu arobaini kwa siku ilihali gharama za matibabu zipo juu,naomba mfikilie mara mbili kama kweli lengo la mfuko huu ni kutusaidia watu wa hali ya chini,sasa kwa mfano unaambiwa vipimo tu vinagharimu elfu thelathin ikifika kwenye dirisha la dawa unaambiwa ongezea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.