Tukwazane Taratibu
Senior Member
- Dec 20, 2012
- 195
- 537
Sema tatizo ni kwamba kwa hali ya nchi yetu ilivyo hilo agizo halitawezekana kwa sababu ofisi nyingi hazina vifaa vya kuwezesha tamko hilli kutekelezeka, unakuta ofisi haina routers zenye uwezo wa kukubali access control list policy, kinachoenda kutokea ni kuwalaumu wataalamu wa ICT watakaokuwa maofisini....