Recent content by David Djumbe

  1. David Djumbe

    Edward Lowassa: Mti uliyojaa matunda ya kheri na jinsi unavyopigwa mawe!

    Waajiriwa wa Lowasa sasa wamezidi...hivi hamuoni kwamba na nyie mkizidi sana kumtetea mnaleta maswali kwa watu wenye akili zao? Mbona muda wa kampeni bado kinachowawasha kitu gani!! Nani kawaambia kwa CCM bado INA nafasi ya kuongoza nchi hii mpaka muhangaike hivyo?
  2. David Djumbe

    Uchaguzi wa CHADEMA mkoa wa Singida, ukabila watawala

    Ndugu wana jamvi, naomba kufafanua kidogo kuhusu ukabila uliotajwa na mtoa maada, kwanza nakushukuru kwa kukiri mwanzoni wa post yako kwamba nilisimamia uchaguzi vizuri kwa kufuata katiba ya Chadema, katiba ndio msingi wa uchaguzi huo, na katiba hiyohiyo haina hata kipengele kimoja kinachosema...
  3. David Djumbe

    Majambazi yateka magari Ipuma Singida, hali ni mbaya!

    Hali ya usalama hasa kwa wasafiri mkoani Singida imekuwa mbaya sana, matukio ya utekaji magari na ajali nyingi zinazotokea tangu mwaka jana zinaendelea kuleta hofu kubwa kwa wasafiri. hizi ni dalili kwamba kuna tatizo kubwa na ni vigumu kulitenganisha tatizo hilo na Jeshi la Polisi Mkoani... ni...
  4. David Djumbe

    Bila Serikali ya Tanganyika, nani atashughulikia mambo yasiyo ya muungano Bara?

    Suala la serikali 3 kwenye katiba mpya sio jambo la hiari tena kama wengine wanavyofikiri, ili muungano wetu uendelee ni lazima sasa tuwe na Serikali ya Muungano, Serikali ya Zanzibar, na Serikali ya Tanganyika..... Sio lazima serikali zote hizi ziwe na marais, tunaweza kuwa na Rais wa...
  5. David Djumbe

    Bila Serikali ya Tanganyika, nani atashughulikia mambo yasiyo ya muungano Bara?

    Suala la serikali 3 kwenye katiba mpya sio jambo la hiari tena kama wengine wanavyofikiri, ili muungano wetu uendelee ni lazima sasa tuwe na Serikali ya Muungano, Serikali ya Zanzibar, na Serikali ya Tanganyika..... Sio lazima serikali zote hizi ziwe na marais, tunaweza kuwa na Rais wa...
  6. David Djumbe

    CHANGE OF PLAN: Jesca Kishoa Kumkabili Mwigulu 2015 Iramba, Morali Yarejea!

    Shetani hawezi kumsifia mtu Mwema hata kidogo, wewe mwenyewe unajiita Oil Chafu , zuri kwako ni vile vichafu kama wewe...
  7. David Djumbe

    Hii kasi ya Nyalandu imetokea wapi?

    Ni nafasi yake kuonyesha uwezo wake...kufa kufaana
  8. David Djumbe

    Mapinduzi Yaliyoshindwa ya DARUSO 2002/3

    Naukumbuka sana huu mgogoro wa daruso kipindi hicho japo sikua UDSM, Kayombo alikuwa makamu wangu kwenye uongozi wa TAHLISO kipindi hicho Mimi nikiwa rais DIT ... changamoto zinazojitokeza wakati wa uongozi vyuoni huwa ni mtihani sana na ndio maana wale wanaomaliza migogoro hiyo vizuri huwapa...
  9. David Djumbe

    Simu za tigo za huawei ni mimba isiyo na mzazi

    Sema tatizo lingine kwenye huawei maana chaji ni kawaida kwa smartphone zote, jaribu Ku switch off application s ambao hauzitumii
  10. David Djumbe

    Gaidi leo, Kesho SHUJAA

    Ni bora mara kumi UJINGA kuliko UPUMBAVU, maana hata ukielimishwa namna gani utabaki na makamasi vilevile
  11. David Djumbe

    Gaidi leo, Kesho SHUJAA

    Kupambana na mfumo mbovu wa utawala ni sawa na kuamua kupita kwenye pori lenye wanyama wakali kama simba ukiwa na kisu tu, utaitwa majina mengi mabaya, kama vile GAIDI, HAINI nk lakini ukishapita tu majina hayo hubadilika na na kuwa sifa kabambe kama SHUJAA, MKOMBOZI nk, Safari hii ni ndefu...
  12. David Djumbe

    Demokrasia na visingizio vya Wakosoaji CHADEMA

    Watu wengi wamekuwa wakiitaja demokrasia lakini bila kujua maana na misingi yake, na kwa vigezo hivyo wamejikuta wakifanya maamuzi na kutoa matamko yanayoashiria kutokuridhishwa na maamuzi fulani na kisingizio kikubwa kimebaki kutokuwepo demokrasia kwenye maamuzi hayo. Misingi mikubwa miwili...
  13. David Djumbe

    Kinana asema CCM haifai, awashangaa wanaopinga

    katika hali ya kushangaza , leo akihutubia mkutano wilayani Chunya Katibu Mkuu wa CCM A . Kinana , amesema sera za ardhi zipo ni nzuri lakini zinashindwa kutekelezwa na ndio maana anawashangaa wanaCCM wanapinga kuambiwa hawafai... " inakuweje Serikali ichukue mashamba kwa wananchi halafu...
  14. David Djumbe

    Sikukosea kuihama CCM na kujiunga CHADEMA,

    Katika kipindi hiki ambapo tumeshuhudia mvutano mkubwa ndani ya CHADEMA, kutokana na baadhi ya viongozi waandamizi kuvuliwa madaraka kwa tuhuma mbalimbali na kamati kuu, nimejikuta nikiwa katika wakati mgumu wa kujaribu kuelewa kwa undani na kupata ukweli na usahihi juu ya haya yanayosemwa...
Back
Top Bottom