Yani umeandika kama single mother huna point hata moja ningekuona wa maana kama ungeainisha shida zilizopo pande zote mbili sio kila anatelekeza hana akili na ukitaka moto uwake kama serikali wekeni sheria ni lazima kupima DNA kila mtoto anapozaliwa
Habarii wanaJF
Nilikuwa naomba msaada kwa yeyote ambaye alishawahii kufanya practical interview utumishi ya VOCATIONAL TEACHER II -ICT wanaletaga practical ya namna gani maake sijawahii kufanya interview ya namna hii ya teacher .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.