Recent content by davetz28

  1. davetz28

    Gypsum board design ya kuficha curtain roads

    Picha ya dirisha kwa juu haionekani vizuri
  2. davetz28

    Shule zimefungwa lakini watoto wa darasa la pili wameambiwa waendelee kwenda shule kununua visheti na sambusa kwa walimu

    Drs la pili nao Wana mitihani ya KKK Hivyo na matokeo yanawekwa hadharani
  3. davetz28

    Bei na tofauti ya laptop na desktop

    Uzi muhimu sana huu, Asante mkuu kwa kutupa elimu.Niliwahi nunua computer nisijue chochote ili mradi tu ni computer matokeo yake iliharibika mapema Sasa nina swali moja pengine linaweza kuwa refu kidogo. Nataka kununua tena laptop ambayo nataka kufanyia online market na graphics na kwa siku za...
  4. davetz28

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Msaada kutoa pesa parimatch siwaelewi Nimejaribu kutoa naona masharti mengi,wenye uzoefu na kampuni hii msaada tafadhali
  5. davetz28

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Niliwahi kupata timu 11 lakini 3 nilikosa kwa kigugumizi.Toka hapo naishia 5 au 7
  6. davetz28

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Maana yake ni rahisi kuweka hela kuliko kushinda
  7. davetz28

    INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

    Majani hasa ya mpera kuanguka na wakati mwingine mapera kuwa na wadudu ndani tatizo nini?
  8. davetz28

    Roho inaniuma sana, mabati niliyoezekea nyumba yangu yamepauka sana

    Mnatuchanganya sasa,tununue bati gani sasa
  9. davetz28

    Hawa wanawake wa leo wanampa dada wa kazi a-handle mume na watoto huku wao wakifuga kucha

    Pale umapogombana na mkeo hakuna kuongea mwezi miezi mitatu basi furaha yako unampelekea dada wa kazi
  10. davetz28

    FT: Yanga 2-1 Simba | Yanga yatwaa Ngao ya Jamii

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  11. davetz28

    Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

    Niliwahi mkataza wa kwangu kwenda mbali na familia sababu ni hii, Ubongo wa wanawake wakati mwingine ukitikisika basi haufanyi kazi
  12. davetz28

    Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

    Wewe ni mbinafsi sana ,unatamani kupendwan lakini huwazi kuhusu watoto wako uliowazaa na ukiolewa utategemea kupata watoto. Kumbuka hata hao watoto uliowazaa wanahitaji upendo wa wazazi wawili. Kama ulishakuwa na maamuzi sidhani kama uzi huu utakusaidia
Back
Top Bottom