Uzi muhimu sana huu, Asante mkuu kwa kutupa elimu.Niliwahi nunua computer nisijue chochote ili mradi tu ni computer matokeo yake iliharibika mapema
Sasa nina swali moja pengine linaweza kuwa refu kidogo.
Nataka kununua tena laptop ambayo nataka kufanyia online market na graphics na kwa siku za...
Wewe ni mbinafsi sana ,unatamani kupendwan lakini huwazi kuhusu watoto wako uliowazaa na ukiolewa utategemea kupata watoto.
Kumbuka hata hao watoto uliowazaa wanahitaji upendo wa wazazi wawili.
Kama ulishakuwa na maamuzi sidhani kama uzi huu utakusaidia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.