Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 11,676
- 24,602
😀Kabisaaaa
Tena tupo wengiiijj
, hongera.
😀Kabisaaaa
Tena tupo wengiiijj
Decision ndo inakuwa imeishia hapo, kwani wewe ukiwa hukipendi kitu ukakikemea unapungukiwa nini?Kwahiyo wewe ukizoeshwa jambo hata kama hutaki utakubaliana nalo, kwani wewe huwezi kufanya decision kama mwanamke
Unajuwa kitu kimoja kipindi cha wazazi wetu ndio wali enjoy sana ila sasa hivi hamna mwanamke wa hivyo katika 10 basi ni 2 ndio wana afadhali na sio zaidi ya hapo...Huwa sielewi
Nachojua , mwanaume anaandaliwa asbhi Ili aende kazini,bness....
Huo ndo ukweli!
Ila wanawake wengi
Kaka zangu Mungu awasaidie
Afadhali mimba ya mwezi wengine akipoteza tu period yake ya mwezi basi hapo mwanaume anageuzwa kuwa mwanamkejamani bado tupo,uyo mwingine naona mimba ya mwezi utasema ana ya miezi nane yaani mwanamme ashageuzwa kama mke
Hapo sasa unajenga au una bomoa nyumba??maana dada wa kazi ataanza kumdharau mama mwenye nyumbaPale umapogombana na mkeo hakuna kuongea mwezi miezi mitatu basi furaha yako unampelekea dada wa kazi
Mtafika mmechoka sanaAfadhali mimba ya mwezi wengine akipoteza tu period yake ya mwezi basi hapo mwanaume anageuzwa kuwa mwanamke
Sijaelewa hapo ndugu yangu....mtafika mmechoka sana
Unashangaa beki tatu ndiye anampangia nguo za kuvaa mwanaume za wiki nzima, anajua suruali hii inaendana na shati hili na kiatu kile.Manake mkiambiwa mnasema mmechoka sasa hata hili nalo la nguo......
, kuna mabeki tatu wanafua mpaka chupi za ndani za mke na boxer za mume.Hilo halitoshi beki tatu anajua mpaka chakula anachopenda mme wako wakati ww hujui.
Ndege wafananao huruka pamoja,uliamua kuchagua mke mwenye kucha na nywele bandia pamoja na kope ulitegemea kucha bandia zinafua na kupika?mbaya zaidi mkatongozana kupitia Instagram na Facebook hiyo ndio fani yake vumilia
Anaweza asiwe mpole ila akawa kolo kwako. Na hao ndo wengi zaidi.Mwanamke unaemtaka unamtengeneza ww awe vile unataka
Sitaki hiki,sipendi hiki...
Sili chakula Cha house gal...nguo zako asifue house gal....nk
Ss vijana mmekuwa wapole mno
Ndo maana sitaki mwanaume mpole,look