Pesa ndo kila kitu akuna zaidi ya Pesa katika maisha ukiwa na Pesa utapata kila kitu maishani napenda mwanamke anaependa hela usipopenda hela utapenda nini?
Kutakua na kitu katika ambacho mdada kashwindwa kuku hadithia baina ya family hizi mbili family ya upande wa mwanamke kunajaambo hambalo watakua wamemkosea jamaa wa kiume ndo mana anaona akuna haya ya kupita ukweni hii ndo sahihi
Serikali iliopo madarakani imeishiwa mbinu za kuendelea kuwa fanya watanzania kuwa vibonde hivyo wamekua wako tumia nguvu ili watanzania wasiweze kuzijua haki zao za kimaendeleo na mengineyo mengi Haito saidia kwa sasa zaidi ya kujivunjia heshima
Duh....ni balaa nacho jua Mimi mapenzi ni hisia unaweza ukajizungusha ukajituma ukafanya kila kitu ambacho unakijua na unahisi wewe ndo fundi mtaaramu ila mwenza wako kama Hana hisia na wewe vyote ni bure tu
serikali 3 imesimama kwa mtazamo wangu.nikiwa na maaana 1.itakua ya muungano wa tanzania na znz 2.serikali ya tanzania bar 3 .serikali ya znz hizi mbili zitakua zikifanya mabo ya husio maeneo husi na hii kuu itakua inaungalisha shunghuri
zote ambazo zitakua zimetendwa na serikal hizo zote...
Akuna Chama ------- Kama ccm na viongozi wake sisi watanzania tunaitaji mabadiliko sio kuongizwa kwa mazoea na kulithishana tuonaitaji viongozi bora na wenye kujari maslahi ya watanzania
Ongera kwa miaka kadhaa ulio bahatika kuwa katika ulimengu wa shida,Raha,starehe,majanga,ufisadi, na mengine mengi tuonakuombea uendelee kuishi ili uyaone mengi zaidi na zaidi.asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.