Happy Birthday mimi

Happy Birthday mimi

Happy birthday wewe! Hongera kwa kufikisha robo karne
 
Happy Bday mungu akupe hekima!na vingine vyote vitafuata!!
 
sasa umefikia umri wa kukupatia mke ili ukue zaidi! Happy birthday, natuman nitakuwa break point kwa kujukuika nawe, lkn iwe kimya kimya......
 
Happy Birthday our friend. I hope you will celebrate it happily.
Say hi to your broda Ruhazwe JR.
 
Last edited by a moderator:
sasa umefikia umri wa kukupatia mke ili ukue zaidi! Happy birthday, natuman nitakuwa break point kwa kujukuika nawe, lkn iwe kimya kimya......

karibu sana baadae mkuu itakuwa kimya kimya no show offs.
 
Ongera kwa miaka kadhaa ulio bahatika kuwa katika ulimengu wa shida,Raha,starehe,majanga,ufisadi, na mengine mengi tuonakuombea uendelee kuishi ili uyaone mengi zaidi na zaidi.asante

Asante sana Mkuu ubarikiwe
 
Nachukua nafasi hii kumshukuru Mungu na wazazi kwani ni siku ambayo nilikuja Duniani miaka 25 iliyopita. Napenda kujipongeza na kuwashukuru wote walionitakia Siku hii kuu njema na Nawapenda wote. Updates baada ya kutafakari sana nimeamua kusherekea siku hii kwa kuichangia JF pia. Naomba mkuu Invisible nipe utaratibu wa kuchangia kwa Mpesa
happy birthday my young brother Mu-sir Mwenyezi Mungu mwenye wingi wa Rehema akujalie maisha marefu mazuri yenye baraka tele
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom