Niliwahi kusema humu siku moja. Unawezaje kutoa video tatu kwa mwezi mmoja ukiwa msanii mkubwa kama diamond! unakimbia kwenda wapi, unamwogopa nani, hujiamini au hili ni tatizo kwa diamond.
Mimi nadhani huu ni wakati wake wakusikiliza ushauri kutoka kwa watu asirudie makosa kama, single ya...
Kifupi mwakyembe ni mbwiga yaani popote pale alipo mwambie Yule dataone wa JF kasema wewe ni mbwiga na mpumbavu kama alivyosema mkapa
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Jana nikiwa naangalia malumbano ya hoja kupitia ITV nikashangaa kuona washiriki wako 12 tu kitu ambacho siyo kawaida. Je siku hizi hoja mnazotoa ITV hazina mvuto kwa watanzania au kitu gani kimewapata .
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Kwanza kabisa nakupongeza sana kaka kwa kazi nzuri sana, pia mimi nishabiki wako kwa kiwango cha lami.
Sasa najiuliza kwanini umeachia video tatu kwa wakati mmoja( Fire, I miss you na Eneka) zote hizo za nini bado hujiamini? Kumbuka wewe ni msanii mkubwa sana hapa Tanzania na Africa unakimbia...
Kumekuwa na maandamano mengi yakumpongeza mkuu wa nchi wakulima, wanavijiji, watumishi wa umma kwa mkuu wa nchi kulinda rasilimali zetu.
Je ni lini watumishi wa umma mtaandamana kumpongeza Raisi kwa kuboresha maisha yenu.
Mimi nimekimbilia madale huku chumba na sebule safi vioo vya kuslide na luku yako mwenyewe choo ndani na cha public Tsh 100000
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Ujinga wetu ndiyo uliotufikisha hapa mtu kama mkapa kashiba pesa za wapumbavu anaishi kwa pesa za wapumbavu, analindwa kwa pesa za wapumbavu Leo hii wapumbavu hao wanatukanwa tena wapumbavu kwa kiwango cha lami. Watanzania mngekuwa na akili kama zangu watu kama mkapa tungekuwa tumemalizana nao...
Huku ile salary slip ya yule jamaa ilipotelea clouds 360 ambako aliwatumia wakati anatekeleza uongo wake
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.