Ukaishia lupango au mwaka 2015 walikuwa vizuri sana hawa jamaaTatizo ni kwamba unaweza ukalumbana vibaya ukaishia pabaya
Jana nikiwa naangalia malumbano ya hoja kupitia ITV nikashangaa kuona washiriki wako 12 tu kitu ambacho siyo kawaida. Je siku hizi hoja mnazotoa ITV hazina mvuto kwa watanzania au kitu gani kimewapata .
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app