Ni hivi ukitaka kuishi maisha marefu chini ya Jua..jiweke mbali na kiumbe Mwanamke.Wanakuaga mwili tu..Akili zile zile za Visheti..!!
Sent using Jamii Forums mobile app
We nadhani wanawake hujawajua Vema.. Kama naweza kukupa papuchi na yuko na mumewe..
Atashindwa nini kampatia papuchi mwingne ukiwa Nae?
Lakini pia kama anaweza kumwacha mumewe Atashindwa nn kukuachaa?
Huyo ni mlaya kama; Malaya wengine.. Tofauti kajificha kwenye kichaka kinachoitwa Mume...
Naomba kujuzwa, kama mi binafsi nimefuatilia kuunganishiwa umeme,, nikaambiwa Nguzo ni Changamoto... Je Kwa kuwa Nguzo zinapatikana IRINGA,, nakaona ni Busara nikazifuata mwenyewe na kuzileta Site.. Je Shida inakuwa nini tena Usumbufu Upo pale pale..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.