Niko single kwa miaka 36, sijapata mtu mwenye vigezo vifuatavyo;
Mume
- Alieokoka
- Umri kuazia 37-40
- Mweye mtoto 1 au 2, asiyetaka kuwa na mtoto tena au Ambaye ana nguvu za kiume lakini mbegu zinashindwa kuzalisha.
- Mweye Nia ya dhati ya kuoa
- HIV negative
Asante na karibu sana mume...
Yani huezi sikuwai kukutana na gifted kama wewe,nasema hivo kwa kua nime date na wanaume kadhaa wakaniomba hela kiwango cha Chino elf hamsini na nilipo watumia waliniblock ila mimi nilifurahi Tu kwakua nilijua atakua anashida na mimi nimemsaidia
Everything is fact ,wabongo hua hawakubali ukweli hapa nilipo nimesoma Nina kazi but sina mume lakini house girl was jirani hajui hata kurudisha change dukani ameolewa na ndoa juu so,nakubali huwezi lazimisha kupendwa and all the other things coz bado kuna watu wapowapo Tu but they have what l...
Habari za muda huuu,
Naonbeni msaada na ushauri ,
Nawapenda sana watoto na natamani niwenae lakini sina kizazi cha kebebea mimba so please nisaidieni niko tayari kuadopt, kuolewa na single father mwenye watoto wadogo au na hanisi tuadopt mtoto.
Kama unalugha za kukatisha tamaa usipitie hapa...
Samahani wamama na madokta malipo huku Naomba kufahamu mwanamke asiekua na kizazi hua anableed maana rafiki angu alitolewakizazi na hua anapata tone la uchafu kwenye Siku zake anapenda Kujua ni kawaida au nitatizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.