Recent content by daso

  1. D

    Uzi maalumu kwa wanaotaka kuoa na kuolewa

    Am woman age 36 A single man born from 1978_1985 am deeply in love A man who is saved by God I mean apentecost fellow your much loved
  2. D

    Natafuta Mume alieokoka

    Niko single kwa miaka 36, sijapata mtu mwenye vigezo vifuatavyo; Mume - Alieokoka - Umri kuazia 37-40 - Mweye mtoto 1 au 2, asiyetaka kuwa na mtoto tena au Ambaye ana nguvu za kiume lakini mbegu zinashindwa kuzalisha. - Mweye Nia ya dhati ya kuoa - HIV negative Asante na karibu sana mume...
  3. D

    Msaada wa mbinu za kufundishia somo la Kiingereza

    Habari wakuu, Jamani naomba msaada mbinu za kufundishia somo la Kiingereza shule za sekondari hasa za kata.
  4. D

    Mwanaume miaka 36 natafuta mke

    Am 35 now
  5. D

    Natafuta mke mgumba

    Hizo zote alizotaja
  6. D

    Wanawake mnavumilia sana Kudate Wanaume wa Kitanzania

    Yani huezi sikuwai kukutana na gifted kama wewe,nasema hivo kwa kua nime date na wanaume kadhaa wakaniomba hela kiwango cha Chino elf hamsini na nilipo watumia waliniblock ila mimi nilifurahi Tu kwakua nilijua atakua anashida na mimi nimemsaidia
  7. D

    Natafuta mke mgumba

    Sifa ya wembamba sina
  8. D

    Nimetimiza miaka 27, hivi ni vitu kadhaa nilivofunzwa na maisha

    Everything is fact ,wabongo hua hawakubali ukweli hapa nilipo nimesoma Nina kazi but sina mume lakini house girl was jirani hajui hata kurudisha change dukani ameolewa na ndoa juu so,nakubali huwezi lazimisha kupendwa and all the other things coz bado kuna watu wapowapo Tu but they have what l...
  9. D

    Natafuta mchumba mgumba au ambae hayuko tayari kuzaa

    Mbona huku jitokeza nilipokua nakutafuta,hataivyo hujachelewa
  10. D

    Ushauri: Nawapenda sana watoto lakini sina kizazi

    Habari za muda huuu, Naonbeni msaada na ushauri , Nawapenda sana watoto na natamani niwenae lakini sina kizazi cha kebebea mimba so please nisaidieni niko tayari kuadopt, kuolewa na single father mwenye watoto wadogo au na hanisi tuadopt mtoto. Kama unalugha za kukatisha tamaa usipitie hapa...
  11. D

    Story: Kwanini Upo Single?!

    Niko single and unmarried too because sina uwezo wa kuzaa mwanaume mwenye tatizo hilo aje tufarijiane najua yupo single
  12. D

    Kuondolewa Kizazi

    Samahani wamama na madokta malipo huku Naomba kufahamu mwanamke asiekua na kizazi hua anableed maana rafiki angu alitolewakizazi na hua anapata tone la uchafu kwenye Siku zake anapenda Kujua ni kawaida au nitatizo
Back
Top Bottom