Nimetimiza miaka 27, hivi ni vitu kadhaa nilivofunzwa na maisha

Kwa kusoma tu maandiko haya ya huyu mleta mada utagundua tu kwamba huyu jamaa hela hana...
 
Inategemea mkuu,huyu bodaboda wangu ninayemkodi kwenye mishe zangu ananiona boss,ananiheshimu na ananiona nimeyapatia maisha,ananiita "mshua" lakini sehemu nayofanya kazi naonekana sina kitu,nikila nao chakula silipi,wananiona sina pesa na nikikaa nao nawaona wao washua,nawaheshimu na naona wameyapatia nawaita "boss".
Ndo maana nikasema hivi ukisoma vizuri kwa makini inaonekana hela huna mkuu...haijalishi nani anakuona una hela au hauna...
 
Inategemea mkuu,huyu bodaboda wangu ninayemkodi kwenye mishe zangu ananiona boss,ananiheshimu na ananiona nimeyapatia maisha,ananiita "mshua" lakini sehemu nayofanya kazi naonekana sina kitu,nikila nao chakula silipi,wananiona sina pesa na nikikaa nao nawaona wao washua,nawaheshimu na naona wameyapatia nawaita "boss".
Ndo maana nikasema hivi ukisoma vizuri kwa makini inaonekana hela huna mkuu...haijalishi nani anakuona una hela au hauna...
 
Everything is fact ,wabongo hua hawakubali ukweli hapa nilipo nimesoma Nina kazi but sina mume lakini house girl was jirani hajui hata kurudisha change dukani ameolewa na ndoa juu so,nakubali huwezi lazimisha kupendwa and all the other things coz bado kuna watu wapowapo Tu but they have what l don't have.
 
Unapoambiwa kuwa mtu mbaya hafanikiwi maana Yake Ni kuwa mafanikio Yake huwa hayadumu.Angalia mabilionea mafisadi Sasa hivi wanavyohaha na biashara zao kufa.issue SI time kufanikiwa je hayo mafanikio Ni ya kudumu?
Mkuu wewe unakaa dunia gani...
Maana hapa mafisadi wanapata utajiri wa wanazeeka nao.
Wakati watu wema wanakufa kwa kukosa dawa hosptali..
 
Everything is fact ,wabongo hua hawakubali ukweli hapa nilipo nimesoma Nina kazi but sina mume lakini house girl was jirani hajui hata kurudisha change dukani ameolewa na ndoa juu so,nakubali huwezi lazimisha kupendwa and all the other things coz bado kuna watu wapowapo Tu but they have what l don't have.
Ni kweli...jamaa angu kaoa house girl akidhani kapata mke...sasa analalama tu kuhusu huyu mke house girl...anapikiwa na kufuliwa vizuri tu, mengine Asha ngedere ana nafuu na ubabe wake...so uko sahihi...kuna mme na mabaharia wanaofanana na mme...Maisha ndivyo hayo ni kawaida tu
 
  • Maisha hayana usawa na wala hatujazaliwa sawa

  • Watu wabaya wanafanikiwa maishani-tunapokuwa wadogo tunaaminishwa kua watu wazuri ndio wanafanikiwa maishani na watu wabaya hawafanikiwa,lakini kiuhalisia watu wabaya wanafanikiwa vizuri tu na ukiw ana pesa na nguvu unaweza ukafanya chochote na usifanywe kitu.
  • Kifo kinakuja bila hodi-dakika moja unaongea na mtu freshi tu dakika nyingine kishafariki..goodbye forever pesa ndio kila kitu
  • Maisha yako sio mabaya kama unavofikiri acha kulalamika na shukuru-kama una afya njema,unalala salama na kula acha kulalamika lalamika kuhusu maisha yako sijui mapenzi,sijui mtu fulani hakupendi.kuna watu wanamaisha mabovu zaidi na wanatamani wawe kama wewe
  • Unaweza ukafanya kila kitu vizuri na bado ukafeli-watu wanasema sijui ukifanya kazi kwa bidii utapata chochote unachokitaka-sio kweli watu wangapi wanafanya kazi kwa bidii na wanafeli? Unaweza ukawa mume/mke mzuri tu na bado mtu akakusaliti unaweza ukampa mwanao kila kitu ukamlea vizuri ila akaishia kuharibu maisha ya sio kila kitu utafanikiwa hata ujitahidi vipi​
  • Mapenzi pekee hayatoshi kuendesha mahusiano-mnajifanya mnapenda sana,mnaona kupendana kwenu mnaweza kuovercome kila kitu..pole sana when shit hits the fan ndio mtajua kua mapenzi pekee hayatoshi kuendesha mahusiano​
  • Its not what you know,its who you know
  • People will judge you based on your appearance- muonekano una matter hata uwe na personality nzuri watu wataanza kujudge muonekano wako.kuna favour utazipata kutokana na muonekano wako..hii kwa wanaume na wanawake​
  • Huwezi kumfanya mtu akupende
Uko sahihi kwa kutambua hayo mapema...so ishi kadiri ya vipawa ulivyobarikiwa kuwa navyo, usilazimishe kuishi kama wengine.

Watu wote tumezaliwa sawa sema mazingira yanatufanya tutofautiane kutokana na tunayopitia baada ya kuzaliwa..... Mtoto wa mkulima na mtoto wa mfanyakazi ni lazima watofautiane makuzi, hapo ndipo tunapoachana..so wakikutana ktk Maisha ndio utaona Maisha hayana usawa..huenda mmoja akakulia mashambani zaidi na wa mfanyakazi kakulia shule za kata...kila mmoja anapitia magumu na mepesi ktk njia tofauti..

Mafanikio hayalazimishwi ni Mipango tu ..

Kila mtu ktk nyanja tofauti anaweza kufanikiwa kadiri ya alivyopanga Mambo yake ktk mazingira yake...

Dunia iko sawa na watu wake wako sawa....mazingira ndio yanayotutenganisha na kupatkana wabaya na wazuri...ila kufanikiwa ni kufanikiwa hakuchagui wabaya wala wazuri bali Mipango na kile unachopitia ktk kuishi......ndipo zilipo tofauti zetu.

Kuishi kwingi ni kuona mengi at age of 27 Hongera kwa kuona hayo...Safari ya maisha ni ndefu kufa ni sehemu ya maisha....wabaya na wazuri wote wanakufa...kutengeneza Mipango ya kufanikiwa ktk maisha ni muhimu....ama ufanikiwe au usifanikiwe....usikate tamaa angali bado unapumua....

Matajiri wakifa na kuacha Mali zao kusikufanye usitafute utajiri eti sababu ipo dakika utakufa.....Kamata fursa kadiri zinavyojitokeza hata kwa kifo, kama utarithi mali za tajiri, ziendeleze maisha ni mzunguko...
 
Back
Top Bottom