Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,618
- 27,596
Sipo single
Ninazo best 100%Hizi sifa best wewe unazo?!
Ulishafuata maagizo ya Mungu kabla ya kufa singo? !Nilizaliwa single
Yes pleaseNilikuwa,.sasa siko singo.....au unataka sababu ya mm kuwa singo wakati huo?? Penny...
Hahahaha next timeMrembo yeyote atakaejidhihirisha kuwa yupo single hapa hakika nitatangaza nia ya kuwa nae.
Mleta uzi nafikiri neno "single"siyo sahihi sana labda ungesema unmarried
WamekuskiaNiko single and unmarried too because sina uwezo wa kuzaa mwanaume mwenye tatizo hilo aje tufarijiane najua yupo single
Hukuletwa Duniani ujifiche kwenye mwamvuli wa It' complicatedMimi nipo single sababu "it's complicated " ngoja niishie hapo tu dadangu
AyaSipo single
HongeraNinazo best 100%
Niko single and unmarried too because sina uwezo wa kuzaa mwanaume mwenye tatizo hilo aje tufarijiane najua yupo
Mimi nipo single sababu "it's complicated " ngoja niishie hapo tu dadangu
Sipo single
Daby lara 1 moneytalk mahondaw Smart911 Ngosha Mashine Ngosha jr Bujibuji Kyalow Tarime one Kichaafulani HomeofservicesNinazo best 100%
Mje mzigo nimeshusha hapo juu
Viumbe wanaoitwa wanawake huwezi kuendelea kuishi nao hasa kwenye tasnia ya mahusiano bila ya kujitoa kwenye suala zima la matumizi ya pesa! So for now my focus & concentration is not all about love affairs rather than doing other things which may accelerate my tomorrow prosperity.
Mimi Niko Single sababu wanawake wa Siku hizi hamna uaminifu
Nipo single kwa kuwa sijapata mtu mwenye nia ya dhati ya kuolewa.
Nikimpata naweka ndani (U-single hauzoeleki)
Ukioa au kuolewa na mhuni,kila siku itakuwa Foolish day. Lakini,ukiwa single,kila siku ni Independence day.
Ila mleta mada na mitalimbo ya watu,hapo ujue kama meshaushea si wa mtu tena,bali ni wa watu wengi,hivyo haina shida ukipewa we kalia tu.
Ni ndani ya mwaka huu nitajitahidi nipate jiko
Hadithi imeshuka page ya 6Mi nipo Single kwa kuwa nikiwafuata PM mabinti wa humu huwa sijivungi kuwatumia picha yangu ila wote huishia kunikimbia maana huwa wanadai eti NISIJE KUWAUA BURE kwa kuwamalizia Oxygen tutakapokuwa faragha maana nina Boooooonge la pua.
mm sitajibu sababu sipo Single, bali nitafuatilia hatua kwa hatua
Wanakujaa
Nipo single kwa sababu nina desturi ya kuziheshimu pesa!
Hamna maisha ya raha kama ya single.
Nipo single sababu najipenda mimi sana.
Nipo single kwa sababu nina desturi ya kuziheshimu pesa!
..... Ntarudi![]()
Sijaelewa niambie vizuri niende mbio huko.Hadithi imeshuka page ya 6
Asante mkuu,hv nipo nalima ubuyu wa kumwagilia nipate hela nikafanyiwe plastic surgery ya pua huko swax.![]()
![]()
polee