Wakati mwingine tujadili mambo ya msingi kwa sasa kwa ajiri ya Taifa letu. Mamvi wote tunamfahamu kazi yake ni kupiga dili ,vitani atakwenda kufanya nn!
Hii haikubaliki mtanzania mwenzetu anatunyonya harafu anaenda zake kupumzika Msoga. JPM tunamuomba asione haya kufirisi watu wa aina hii. Laana iko juu ya hili taifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.