Recent content by dasheziiii

  1. D

    Lowassa kwenda vita ya Uganda alikuwa kama nani?

    Wakati mwingine tujadili mambo ya msingi kwa sasa kwa ajiri ya Taifa letu. Mamvi wote tunamfahamu kazi yake ni kupiga dili ,vitani atakwenda kufanya nn!
  2. D

    Serikali mbona kimya shule binafsi?

    Ripoti ya wakaguzi iliyoteuriwa na serikali kufanya utafiti Wa kina juu ya ada stahiki inakabidhiwa Leo. Ajabu mleta uzi Unakuja na majibu yako.
  3. D

    Mgao wa umeme umeanza rasmi leo Dar

    Umeme mbona utakaa sawa tu kwa jembe Magu
  4. D

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Lazima kieleweke ndani ya mwaka huu.
  5. D

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Tumpe muda Pombe soon atahamia huko secta binafsi.
  6. D

    Huyu ndiyo Magufuli, Bila ya Chenga!

    Safi ndugu yangu Magufuli. Piga Nazi twende kitaeleweka tu.
  7. D

    Deni la taifa lafikia trillion 40

    Hii haikubaliki mtanzania mwenzetu anatunyonya harafu anaenda zake kupumzika Msoga. JPM tunamuomba asione haya kufirisi watu wa aina hii. Laana iko juu ya hili taifa.
  8. D

    Uhakika wa Lowassa kushinda sasa ni mdogo

    Mamvi tiari kashaanza kuchunga Ng'ombe Monduli
  9. D

    Maajabu makubwa ndani ya CCM, Magufuli na Watanzania

    Huo ujinga Wa kusema Magufuli mweupe upstairs subiri aapishwe uongee huo ujinga wako .
  10. D

    Times of Israel: Edward Lowassa is a reformer, partriot and a successful businessman

    Hawa jamaa Wa ugaibuni wanapenda kufanya mambo kwa faida yao. Acha amfagilie EL ataisoma namba.
  11. D

    Nani atawaruhusu CHADEMA kukesha?

    Ukitaka kujutia kuzaliwa jaribu kukusanyika eti unalinda kura!
  12. D

    Yaliyojiri Tanganyika packers: Kampeni ya chama cha demokrasia na maendeleo 01/10/2015

    Eti Utampeleka Edo Ikulu ww nan!? Cha msingi piga kura yako ukasinzie huko. La sivyo utajinyea kama ndugu yenu.
  13. D

    Lowassa hatukuwa rais kwasababu

    No Lowasaaa, No Lowasaa Ikulu itaiona kwa nje tu
  14. D

    Kwanini Lowassa havai vazi rasmi la CHADEMA maarufu kama gwanda?

    Ha ha ha huu mwaka mtajinyea sana na bado. Sasa hv zamu ya wanachama kujiny...a
Back
Top Bottom