Salas
JF-Expert Member
- Feb 15, 2009
- 382
- 82
Katika hali ya kustaajabisha jipu tambazi la ada za private school limeshindikana kutumbuliwa.
Huu ni mwanzo mbaya au dalili za kuanza kushindwa kwa kasi ya mabadiliko ya kudandia. Serikali ilijipambanua Ifikapo December 15 wangekuja na Muongozo lakini hakuna kitu.
Hakika mabadiliko bado sana huu ni mwanzo huenda na sekta nyingine wakaendelea kuitisha serikali.
Huu ni mwanzo mbaya au dalili za kuanza kushindwa kwa kasi ya mabadiliko ya kudandia. Serikali ilijipambanua Ifikapo December 15 wangekuja na Muongozo lakini hakuna kitu.
Hakika mabadiliko bado sana huu ni mwanzo huenda na sekta nyingine wakaendelea kuitisha serikali.