:D:D:D:D
Mbwa hana uwezo wa kutumia kucha kuwinda mbwa sio jamii ya paka. Hizi habari mnazitoa wapi? Kingine mbwa akiwinda lazima ang’ate unless huyo sungura au swala ni mjomba wake.
Huyo mke umemuokotea wapi? Una bahati sana tu noti bandia inakupeleka jela. Hapo kwakifupi kama mtu ana uwezo wa kukutegeshea noti bandia ina maana hakujali yani we ni daraja kwake. Siku mtandao wao wa noti bandia ukisanuka unakuja kubebwa na wewe.
Kwa mujibu wa mahojiano yake na Millard Ayo mwaka jana alisema anavuta kama milioni 12 kutoka Steps kila mwezi.. Iweje anaomba msaada sasa? Wabongo kwa kujilizaliza na kuangushia shida zetu wengine hatujambo.
Kwanini huyohuyo mungu amewaumba hao binadamu yeye mwenyewe halafu tena baadae aanze tena kujitesa kutuma mitume wawafundishe kuhusu yeye na uwezo wake. Kwanini wakati anawaumba asingewaumba wamezaliwa wanamfahamu tayari?
Kama vile ukinunua computer inavyokuja na operating system yake? Ni kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.