Mithali 30.Katika ujinga niliouona chini ya jua ni ufahari wakati kwenu ni msituni. Unataka pete ya million wakati ukija home uje kulala njaa.
Badala ya pete ya ufahari, nunueni samani mpya ya kuingia nyumba yenu nadhani huo ndo ufahari. Vijana wengi mnaoana huku mnakaa vijumba vya kupanga!! Its a shame man.