oooh
ok,mimi nimeona madharani watu tupo na mimi na swali naloitaji jibu nikaona haitakua na shida maana ni inshu ambyo nilitaka ifahamu,ila kwa sababu nimuuliza kitu ambacho sio kibaya nadhani nikipata jibu kwa anaefahamu itanifahaa zaidi.hata kama ww unafahamu basi naomb unifahamishe
kuna kampuni zinazoweza kukuunganisha na hizo internship,iabidi ujiunge katika hizo kampuni maana ndani yake kunakua vikundi vinavyowezesha hayo mambo mfano ni Sugeco Pamoja na moja ipo Dar lakin sema jina sina kwa sasa
wadau gharama za kurenew leseni kwa hivi sasa ni bei gani maana muswada wa kupandisha bei niliusikia mwez wa saba lakin sijajua kama umepitishwa au bado.naomba mwenye kufahamu anijuze
Katika hili naweza sema mzazi inabidi aangalie akili ya mwanae ilivo,unajua kuna kichwa na kichwa chakutoka nyumbani na kwenda kujitegemea,na pia swala lingine la kuliangalia ni shughuli anazofanya huyo mtoto,anaweza kawa ameajiliwa mahali mbali na nyumbani na gharama za usafir ni kubwa akiwa...
ni sawa akisubiri ndoa,navofahamu katika mafundisho ya dini zetu tunazo sali sidhani kama kuna dini au dhehebu amabalo linahamasisha au kufurahishwa na muumini wao kupata mtoto nje ya ndoa,Uzuri wakupata mtoto ndani ya ndoa ni kwamba unajihakikishia malezi ya mtoto na upendo baina ya wazazi...
hio kauli ya wa hovyo hovyo ina mapana marefu sana,mtu mwingine anaweza ashindwe kuitafsiri,minilicho ona nikwamba cha muhumi kuangalia mazingira ya mkeo au mmeo anapotoka,maana kuna tabia nyingine zinatokana na kimazingira,kila aina ya mazingira yana ustaarabu wake,jambo lingine nalo liona sana...
Nani alikuambia ujiungeee?madharani MTU anajiunga kwaa akili yke mwenyewe haina shidaa.serikali haikuunganishi na biashara za mtandaoni,ili kiepuka nao usijiunge.
Umetazama hio video aliekuwepo huyo advocate?
Itazame kwanza ndio utaweza elewa.
Pia sio wizara ya fedha Bali ni financial instutions ndio zilizokua zikipiga kelele,maana pesa nyingi zilikua zinapelkwa njee ya nchii
Hello habari,withdraw haijasimama ila kinachofanyika ni utengenezaji was platform ya D9 ambayo itawezesha utoaji wa pesa kwa haraka zaidi,maana Mara ya kwanza ilikua ikitumika block chain ila ilionekana kuzidiwa maana member niwengi mno wanao request kutoa via bitcoin na hii ilikua ikichukua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.