Hivi wanawake anaowakubali ndio kama wale wanaowafilisi kina Tyrese Darnell Gibson, Ken Rathbun, Adrian Peterson, Elon Musk &Grimes, Deion Sanders, John Depp na Michael Jackson bila kumsahau Donald Trump vs Stormy Daniels kwa makesi ya watoto na mshiko!!!
Kitu cha kwanza ni kufikiri kama Mchina. Anachofanya Mchina ni kuangalia kila fiction science movie kutoka kwa Wamarekani (zamani) halafu anazifanyia kazi katika maisha halisi, hiyo inaitwa trial and error (a problem-solving method that involves trying different solutions until one works)...
Kwa yule asiyefikiria mbali anafikira Hamas walikosea, sasa kwa taarifa tu lengo lao ni hili hapa kama hiyo lugha haikupi shida:
https://www.msn.com/en-xl/news/other/un-general-assembly-passes-resolution-calling-for-palestinian-state/ar-AA1vfEOF
Kwanza watuonyeshe kibali cha Benki Kuu (BOT) kuthibitisha wao kuruhusiwa kufanya biashara hii ili sasa tuwekeze. Kama riba ya M-pesa tu wanatoa gawio la shs 50/= usiku wa manane sembuse 13%!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.