Recent content by darisoo

  1. darisoo

    Butiku: Tanzania sio mali ya vyama vya siasa, tufuate katiba na sheria

    Butiku ni moja ya wanasiasa wakongwe wenye sifa ya kuitwa binadamu tofauti na wanasiasa wanaostahili kuitwa majina ya wanyama
  2. darisoo

    Kataa kataa Watumishi ya DC wa Kilolo yamuweka kuti kavu. Waziri Mkuu aagiza utendaji wake uchunguzwe

    watanzani tuache unafiki ,jaji warioba katika rasimu yake ya katiba mpya alizungumzia kuhusu nafasi za ukuu wa mkoa na ukuu wa wilaya ,wanachi walizikataa hizi nafasi na yule anayewatua warioba alipendekeza apunguziwe madaraka ya uteuzi,mteuji hupo magogoni chamtemakuni wanakiona watumishi...
  3. darisoo

    Askofu Mwamakula: Ole kwa Taifa lisilotenda HAKI kwa watu wake! Unamkamata mtu eti upelelezi haujakamilika karne hii?

    kazi ya kiongozi wa kidini ni kukosoa matendo mabaya ya wanadamu popote pale wanapoyatenda serikalini,misikitini,makanisani,nyumbani ,chumbani,chooni nakadhalika .wewe huna dini
  4. darisoo

    DPP atoa muongozo kuhusu Watuhumiwa wa Uhujumu Uchumi kulipa fedha walizotafuna ili kusamehewa

    Nao itabidi waandike barua wakikiri kufanya hayo matukio na kisha walipe fedha na kutoka
  5. darisoo

    DPP atoa muongozo kuhusu Watuhumiwa wa Uhujumu Uchumi kulipa fedha walizotafuna ili kusamehewa

    inatia uchungu Taifa linapoanza kuchezewa na walioshindwa,hawakushindwa yale,bali watashindwa kila kitu.maajabu tanzania,WAANDIKE BARUA WAKIKIRI?,TOKA LINI?,
  6. darisoo

    Rais Magufuli: Waliopo mahabusu kwa kesi za uhujumu uchumi, kama wapo tayari kuomba msamaha na kurejesha pesa, kama Sheria inaruhusu nashauri waachiwe

    m mkuu upo sahihi sana,wamegundua kuwafunga ni ngumu ,ushahidi hautoshelezi na ushahidi wao unaunganika vigogo wa awamu ya 4.kwa mara nyingine nchi imeingizwa hasara uwaweke watu ndani miaka minne halafu unatafuta njia ya kuwaachia ya kijanja kijanja,lazima kodi yetu iwalipe fidia
  7. darisoo

    Takukuru: Ni marufuku kugawa Fulana, Kofia, Chakula, Khanga nk kwa wapiga kura wakati wa uchaguzi

    k kuna uwezakano chama cha kijani kimeishiwa fedha sasa kinawatumia takukuru kupiga marufuku kofia na kanga ili ionekan kuwa ni rushwa
  8. darisoo

    Uandikishwaji wa Tela la Trekta

    nchi hii haishi vituko,tumia usajili wa trekta
  9. darisoo

    Dar es Salaam: Mahakama Kuu yakataa maombi ya Tundu Lissu ya kutengua maamuzi ya Spika. Jaji asema itasababisha mgogoro Kikatiba na Bunge

    mungu atabaki kuwa mungu tu,risasi 30 hola hakuna binadamu yoyote aliyemtetea lisu dhidi ya risasi maana walinzi waliondosha ili wasisaidie wote wakaamwacha auawe kwa risasi la hasha mungu akazui mauti kwa lisu,wakajaribu kuzuia mshahara wakashindwa,hawa kuchoka sasa wamemvua mbunge msifikiri...
  10. darisoo

    Kumbukumbu ya kushambuliwa kwa Lissu: Mitandao inaweza kukutoa machozi

    wanaomwaga damu za watu huwa wanamwisho mbaya sana
Back
Top Bottom