Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Twitter Donald Trump
It is expected that China will be buying large amounts of our agricultural products!
Najiuliza kwanini CHINA isingekuja kuwekeza kwenye ardhi ya Tanzania ili bidhaa hizo za kilimo awe anachukulia Tanzania ili kukuza uchumi wa nchi yetu, kwa sababu tuna ardhi kubwa na maeneo mengi wanaweza wakalima vyakula vyao vyote kutokana na Tabia ya nchi maana inaruhusu why? kwanini akimbilie kununua marekani kumuongezea tajiri fedha.
Tatizo ni nini , kinachomzuia asije kwetu kuwekeza kwenye kilimo ni nini?
It is expected that China will be buying large amounts of our agricultural products!
Najiuliza kwanini CHINA isingekuja kuwekeza kwenye ardhi ya Tanzania ili bidhaa hizo za kilimo awe anachukulia Tanzania ili kukuza uchumi wa nchi yetu, kwa sababu tuna ardhi kubwa na maeneo mengi wanaweza wakalima vyakula vyao vyote kutokana na Tabia ya nchi maana inaruhusu why? kwanini akimbilie kununua marekani kumuongezea tajiri fedha.
Tatizo ni nini , kinachomzuia asije kwetu kuwekeza kwenye kilimo ni nini?